Kama hii ndo inamfanya aonekane anafanya kazi basi aandike kuwa ameumia maana ni juzi tu Tume ya Haki za Binadamu ambayo ni serikali imetoa tamko kuwa Makonda amekiuka taratibu za utawala wa sharia. Ni wakati mwafaka wa kuondoa hivi vyeo vya makaratasi
Wakuu,
Taarifa nilizozipata muda huu ni kuwa Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea amekamatwa kwa amri ya DC Makonda baada ya kutofautiana nae wakati wa kusulushisha mgogoro kati ya Kiwanda cha wachina eneo la EPZ pale External.
Polisi wamemchukua na kumpeleka katika kituo cha Magomeni, mawakili wa...
Nimemwambia mkuu, Chama Chake hakina Political Identity kwa sasa, walijipambanua kupambana na CDM wamekwama na yupo peke yake Bungeni na washirika wake wa CCM. Hana tofauti na Cheyo na Mrema.
Kwa sasa anashinda kufanya lobbying kwa hali na mali apewe Uenyekiti wa PAC ili aendelee kufanya...
Mkuu mbona hii lobbying yako inavuka mipaka????
1. Kama wataamua kukupa uenyekiti wa PAC watakupa much as utahandle interest zao.
2. We ni mwanasiasa mzuri ila tatizo lako huna identity, sidhani kama siasa za kumsifia Magufuli zitakupeleka popote.
3. Kuna agenda zitakubeba lakini sio hii...
Mkuu watu wanabebwa na mihemko na Propaganda za akina Magufuli as if huyo mtu katokea Mbinguni. Kwa sasa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla ni political captives hawaruhusiwi kufanya mkutano wowote, dola imeamua Magufuli tu ndio asikike ili kumjengea Political legitimacy baada ya uchaguzi ambayo...
Mkuu umenikumbusha mbali sana hasa "kiti cha Mohamed Mtoi", nimekutana na Mawazo Kalenga na mara nyingine kadhaa hakika amepotea kiongozi mahiri sana aliyekuwa akisimamia anachoamini.
Masheikh wamekamatwa Zanzibar, kwa nini washtakiwe bara? Pili, ina maana Kinana na serikali yao hawajui due process maana tayari ameshawahukumu kuwa ni magaidi. Katibu Mkuu wa Chama ambaye hajui due process ni balaa
Ukisoma between the lines unaona kuwa Lipumba hakujiuzulu kwa ajili ya kuheshimu dhamira yake bali kuunga mkono Serikali (ya CCM) kuhusu Lowassa. Sasa naona wanazidi kumuumbua mzee wa watu. Pia Kinana anasema "Moderate Opposition "Leaders" kwa maana ya haya maneno na Dr Slaa (Mzee wa kula...
Kuna habari zimezagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Gazeti la Mwanahalisi limefunguliwa baada ya hukumu ya Mahakama leo mchana.
Mwenye taarifa zaidi atujuze.
Wasalaam.
Masikini Mchange amekuwa ki.chaa. Dah! Hakuna hata connection ya facts anabwabwaja tu. Ulikuwa wapi siku zote usiitwe polisi kwa ushahidi?? Anyway kwa kuwa umekuwa chi.zi basi
Wasalaam wanajukwaa,
Joto la Uchaguzi wa Baraza la Vijana na Chama kwa ujumla Mkoa mpya wa Njombe unazidi kupamba moto.
Taarifa za uhakika kutoka Mkoani Njombe zinaarifu kuwa Kamanda Emanuel Masonga aliewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi SUA amechukua fomu huku akitanguliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.