Mamlaka za maji wanatuma bill na control number kwa sms nini kinashindikana kwa TRA kutuma control no. kuepusha usumbufu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Siungi mkono wadada kuutoka na wanaume wa watu;ila kila tatizo lina pande mbili!Wanawake wenye ndoa zao wanatakiwa wasimame kwenye nafasi zao na kutunza waume zao wasitoke!!
Unakuta mwanamke anaongea sana, wengine ni wachafu hajikeep smart kwa ajili ya mume wake .Na wengine mapenzi na attention...
hao wakina Donald T walishabomoleana nyumba zao zamani sana so sirahisi kukuta kwao mtu anajenga kwenye bonde la mto au open space
madhara ya kujenga kwa open space ni kushindwa kupata njia rasmi kupita gari kwa ajili ya mgonjwa zima moto watu wa namna hii ndo wananikwaza zaidi kujibinafshia...
upo sahihi mkuu labda TBC ndo watakaowalipa nyimbo za bure na zenye quality zipo ukapige wimbo wa kulipia naona underground wakienda kupotea kabisa
wanahitaji kufanya tafiti za kutosha kwenye nchi ambazo wasanii wananufaika kwa kazi zao ama pengine hajajua wanataka nn
Hauhitaji uchunguzi wala ukaguzi kumtimua Mramba kama ana busara ni bora aresign
Hata Magufuli.alipokuwa Arusha kipindi cha kampeni alisema Tanesco ina muhujumu pole kama.ni shemeji
Mkuu usinywe juice ya ukwaju itakutia hasira af utiki nje ya box kura iharibike,mi nashauri kunywa urojo au supu ya pweza unatiki kipemba bila kutumia nguvu nyingi.
Duuuh mie huyo enzi hizo niko mafundisho ya kipaimara,utantaka??? Kijana akisogea tu...mambo???? kwa yesu,fashion kuokoka,ujanja kuingia mbinguni....naongea bila breki.Chaa nimekumbuka mbali.
I didn't write that because of what I've been put through by "some dude".I have my ways of relieving pain and anger...and I haven't expressed that anywhere in this thread!
I just wrote what I thought is true in response to the topic.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.