Asante kwa mtazamo wako wenye mlengo mmoja umeanza vizuri ila umemaliza vibaya sana ukaonesha itikadi yako wazi,nasi hatuangalii umeanzaje bali unamalizaje
<br />
<br />
Hujui hiyo ni yuniform na mabango ya matangazo wewe vipi,hizo si kama bendera ndugu yangu hata hivyo zinamvuto kuvaa unafikiri yangekuwa yale magwanda ya mgambo angevaa tuko kazini tunajua maana ya Marketing ndugu
Kila mwenye mtazamo wa mbali atakuwa anaweka mipango yake sawasawa kurudi CCM,Murrah sasa kiwekwe nini clear na specific kama huamini si nenda Iramba ukaone.Hongera Simon mana hutajutia uamuzi wako.Ng'ara CCM ng'ara ni wakati wa kung'ara zaidi watu wanahaha mpaka wanaanza kugomea sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.