Search results

  1. C

    Masters degrees za Mzumbe University zinaua ubora wa elimu

    kwenye mambo ya kubabaisha kama utawala, fedha na mambo kama hayo, not hard science
  2. C

    Jamani tunaofahamiana habari za siku nyingi

    Kifo kilikuwa nyuma yetu awamu ya tano
  3. C

    Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

    There is none! CCM hakuna, ebu taja wazuri kuongoza wenye busara na hekima
  4. C

    RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

    "Popote watakapojitokeza tutawatwanga" halafu mama samia anamuacha mtu kama huyu kwenye ofisi ya Umma. Hapa mama patafakari upya.
  5. C

    Jamani tunaofahamiana habari za siku nyingi

    Njema, ila sijakufahamu. At one time tuliamua watu wa Arusha na Tanga kutambuana na tukatembeleana way back in 2000 if not mistaken, are you one of them?
  6. C

    Jamani tunaofahamiana habari za siku nyingi

    Salamu tu hakuna zaidi maana kuna watu tunafahamiana, tulipotezana baada ya watu wasiojulikana kutamalaki
  7. C

    Jamani tunaofahamiana habari za siku nyingi

    Just to say Hello to you all who we know each other! Bado tunaishi tunamshukuru Mungu, maana miaka mitano nyuma lolote lilikuwa linaweza kutokea.
  8. C

    Wapendwa nisaidie nitapata wapi hii spare ya gari

    Jamani natafuta air mass sensor ya Nisan serena make ya 1997. Nitapata wapi au mwenye nayo tuwasiliane inbox tuyajenge. Air flow sensor for NISSAN SERENA (C23M) 1992–2001 2.0 16V, Petrol SR20DE , 93kW Change vehicle Results found: 1 Air Mass Sensor Denso DMA-0214 Item code: AL604740...
  9. C

    Majaji wa Tanzania hawajui kiingereza - Tundu Lissu

    third person singular in the simple tense!
  10. C

    Majaji wa Tanzania hawajui kiingereza - Tundu Lissu

    Sidhani inakuwaga that much simple. Wanaweza kweli kama written submission imekuwa nzuri waka copy some elements suitable for the judgement, lkn si that muchsimple copy and paste kama ulivyoiweka
  11. C

    Deodatus Balile kama Mzee Mwanakijiji

    Pascal nimesema mara nyingi na kuna mtu humu , namuunga mkono, kuwa AS LONG AS MAZURI YANAAMBATANA NA KUUA WATU, KUPOTEZA WATU, KUPIGWA RISASI 38, and the like, WHATEVER GOOD ONE MIGHT BE DOING , if at all are there, GO DOWN BY THE TRENCH! SIWEZI KUSIFIA MUUAJI ETI kwa vile KANILETEA SGR, NDEGE ETC.
  12. C

    Mwanza: Jeshi la polisi limeua Majambazi wanane usiku wa kuamkia leo 26.1.2019

    ngoja na naombea tena Mungu atanisikia sala hii, ndugu yako achapwe risasi hata kama siyo yeye kuliko jambazi kuliacha
  13. C

    Mwanza: Jeshi la polisi limeua Majambazi wanane usiku wa kuamkia leo 26.1.2019

    Tumesikia upande mmoja, wapili bado! Kuna ushahidi gani kuwa walikuwa majambazi?
  14. C

    Mwanza: Jeshi la polisi limeua Majambazi wanane usiku wa kuamkia leo 26.1.2019

    It is a pity uzi mzima huu umejaa pongezi wa Lumumba! Mauaji! Yanapongezwa asif tulikuwa tunapambana na Idd Amin kavamia kagera!
  15. C

    Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

    Lisu maisha yake yatakuwa hatarini akirudi. Tena hatari kubwa! Labda 'wakubwa' wawatishe akina msiba na wenzake kuwa akiuliwa tu akiwa Tanzania, we will bomb you, kitu ambacho ni cha kufikirika.
  16. C

    Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

    Hakunammazingira nje ya hukumu za magistrate, High court na Court of appeal!
  17. C

    Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

    MaliyaMungu alikuwa katili kuliko Idd Amin!
Back
Top Bottom