Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi Donald J Trump ameibuka na ushindi wa kutosha dhidi ya Hilary Clinton aliungwa mkono na Rais wa sasa na baadhi ya marais wastaafu. Kwenye uchaguzi huu kuna mengi nimejifunza hasa kuhusu wanaharakati wa haki za wanawake kwenye nchi za kiafrika. Wanawake...
Huu ukatili umewahathiri sana watu weusi hasa kutoka kenya sikujua kuwa hata watanzania nao pia wanafanya kazi za ndani Oman. Suala hili la huyu binti linatusikitisha wote na ni vyema wanaharakati, vyombo vya habari na dola vikafuatilia jambo hili. hata hivyo nitoe angalizo kuwa hao wanaofanya...
Umejaribu kueleza kwa kiasi ila kuna mengine unatakiwa ujifunze zaidi Tunatambua uwepo wa Kristo (Messiah) kama alivyotabiriwa katika kitabu cha Nabii Isaya na tunafuata mafundisho yake ila sisi hatumsubirii arudi mara ya pili kwa sababu Alisharudi kama Ras Taffar Mackmanon- Emperor Haile...
Azimio la Arusha lilizaliwa Arusha ila Watu wa Arusha walikuwa wapinzani wakubwa wa Ujamaa. Nyrere alimpendelea Chifu Dodo Kugombea ubunge kupitia Tanu. Wananchi wakamkataa wakasimamisha mgombea binafsi Chief Sarawat na akaibwaga TANU. ni misimamo tu
Tunaamini Mungu Yupo atawaponya waliojeruhiwa na kuwafariji waliopoteza ndugu zao. Taarifa za hivi punde zinasema barabara karibu na Westgate zimefungwa, watu wanaoishi karibu na eneo hilo wametakiwa kuchukua hatua za tadhari huku milio ya risasi ikisikika kutoka ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.