Kwa mm nifikiriavyo siyo kweli kuwa walimu hao wamekatwa mishahara yao kwa sababu ya kutokuwa na history sheet na/au vyeti vya kuzaliwa.Lakini huyo aliyetoa taarifa kuwa wamekatwa mishahara hiyo kwa sababu tajwa hapo juu ni nani? Hii inaonekana kulikuwa na taarifa in advance.
In connection hawa...
Sina cha kuongeza hapo naona woote mnamawazo ya namna moja probability Sikh zote huwa ni moja tu ikiwa ccm itashinda basi UKAWA watakuwa wameshindwa na kinyume chake
uchumi tengenezee mwenyewe jamaa ameeleza vzr sana hapo juu kuwa determinant wa dollar ya US dhidi ya Tsh.ni demand and supply so acha kuleta siasa hata kwenye mambo ya kitaalam
Mzee huyu amefunguka kwa evidence na kwa kujiamini sana.Dah! Kazi ipo mwaka huu cc yetu macho na masikio na offcourse yote kwa yote turudi kwenye sifa za mtu kuwa rais wa nchi hii.
Mimi nimekuwa nikifanya applications za ualimu ngazi ya ordinary diploma in primary education malipo tayari nimeshalipa nikafungia email halafu nikaanza kuapply kilichonishangaza hapo ni kwamba kila Niki click continue with applications naambiwa "the email you provided already exist in our...
Kwa mtazamo wangu nadhan kuna haja ya kuwapeleka watu semina.kwa nionavyo mm tujifunze dini zote mbili hlf from utachambua pumba na mchele.nasema hvyo kwa kuwa mleta uzi yawezekana akawa anauelewa wa dn yake na akawa hana kbs uelewa wowote juu ya dn ya upande mwingine ndy maana ahahc kuwa upande...
ni kwamba kwa kuwa kumekuwepo na malalamiko mengi khsu ca kwa pc necta pia imetoa mwongozo kuwa watahiniwa wa kujitegemea yaan pc watafanya paper mbili ile ya school cand.ambayo itatumika km ca na ile ya kwake itakayotumika km final exam(fe) REJEA RATIBA YA NECTA F.4 MWAKA 2014
GPA HIZO...
Baraza la mitihani la Tanzania NECTA linatarajia kuanza kutumia mfumo mpya wa upangaji matokeo ya mitihani ya mwisho yaani FE kuanzia mitihani itakayofanyika NOVEMBER,2014 na kidato cha sita MAY,2015.
Kwa mujibu wa kaimu katibu mtendaji wa BMT CA itachangia alama 30 na FE alama 70.Source barua...
MM siungan na wenye mawazo ya kubeza iman za watu kila mtu amuheshimu mwingine ndiyo upendo.
Mm ni wa din nyingine kbs tofaut na ya wasabato lkn madai yao yanamsing wangepewa muda mwingine wa kufanya.Ukichunguza xna utakuta huyo lecturer ameathiriwa na umagharib hvyo haon umuhimu wa dn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.