Hongera sana Mbatia kwa kusema hayo maneno. Unajua fika kuwa bila UKAWA ushindi haupo na umepiga dongo kwa hawa mbuzi maCCM kuwa Ukawa unaenda kuchukua nchi. Kiu yako ya kuona Ukawa ukiwa umesimama ndiyo kiu ambayo amekuwa nayo kamanda mkuu wa anga kamanda Mbowe. Nafarijika sana kwa kauli hii ya...
Marando hawezi kueleweka kwa washabiki, wanachama na kundi tiifu la Lumumba Book 7 FC tu kwani kauli hiyo ni kifo kwao. Wamezoea kuchakachua matokeo na lazima tuwapige mapema sana kwa kushinda zile Big zones! Nilikuwa naangalia takwimu kumbe mikoa kama singida kwetu wapiga kura ni laki saba tu...
Kama kutoa matangazo ya matokeo ni siri inakuwaje mawakala wa vyama wanapewa nakala za matokeo? Mwaka huu mtazisoma namba kama katika chaguzi ndogo ambako matokeo hupatikana kabla ya hiyo inayoitwa tume kutangaza.
Halafu kumbuka Wakili Marando amesema atajitoa MHANGA hivyo elewa maana ya mhanga.
Wakili Maarufu na shushu aliyebobea tangu enzi za Mwalimu JK Nyerere amesema mwaka huu atajitoa Muhanga kutangaza matokea ya Urais kabla ya matokeo hayo kuchakachuliwa. Hii ni ishara ya wazi kuwa Watanzania mwaka huu hawatakubali kuburuzwa na tume ya watawala.
Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima
Mzee Tupatupa hali hiyo ni nchi nzima. Kumbuka kuwa Mkoa huo wakati huo ukiwa Iringa bila ya Njombe mliufanyia sherehe kwa kuwapa kura nyingi ninyi mwaka 2005? Wananchi wanabadilika ila cha ajabu ni hao viongozi wako hawaoni, hawasikii na wala hawataki kupapasa ili kujua. Andika hiyo ripoti...
Simiyu Yetu hivi 2/3 unaizungumzia kwa kuwa imetangazwa kuwa imepatikana? Hebu jiulize dhambi ambayo Sitta anaipata kumpigisha kura bi Shida Salum ni ndogo? Hii dhambi ya kuwasingizia waislam ambao wanatoa fedha zao kwenda kuhijj Makka kuwa wamepiga kura siku hiyo itawaacha salama? Unakuja na...
Usipende kujitoa ufahamu kijana. Habari yako naifananisha na mwanaume anayekojoa kichakani halafu akiwa anatazama nyuma. Utaachaje kupiga picha ya tukio hilo halafu wewe uanze kupiga picha gari! Vijana wakiwatolea lugha kali mnalalamika ila haya mnayataka kwa kujitoa ufikiri wetu kwa kile...
Baba ambaye ukoo wake umeshindwa kumwelewa maana kila wakati amekuwa akiwaambia wanandugu muwe na akili za Mbayuwayu yaani za kuambiwa changanya na zako. Baba ambaye hajui kukemea watoto wake katika ukoo.
Unamzungumzia Zitto wa mwaka 2006 alikuwa anaendana na mtazamo wa chama. Ndiyo maana katika hizo unazojifanya kumnukuu hazungumzii mimi. Anazungumzia chama kama chama. Lakini alipopata umaarufu akavimba bichwa kwa kuvimbishwa na hao aliokuwa akiwakosoa. Wewe kwa sasa ni Mwanachama wa CCM jaribu...
Katika watu ambao wanawafundisha vibaya hapo ninyi Misukule ya Lumumba na ACT ni N.a.P.e n.A.u.Y.e. Mmejengwa katika kutukana na kudharau uzee! Hakika malezi ya uoande mmoja ya mzazi ni shida sana. Mwenge nao mnaushabikia wakati ndyo uliosababisha azaliwe kupitia ofisi za shule katika mikesha...
Huu upuuzi wa CCM nimeuchoka sana! Hivi ile familia ya Wangwe na ndugu mnaikumbusha nini? Wakati mwingine hebu kuweni na utu jamani na heshima pia kwa ndugu zetu waliotangulia huko akhera. Utu ni zaidi ya pesa.
Ameweza Kikwete atashindwaje Msigwa? Msigwa amejilinganisha na Kikwete akaona anao uwezo mkubwa wa kuongoza kuliko Kikwete na ukitaka kuamini angalia uwezo wa watu jimbo la Chalinze na Iringa Mjini.
Mbona watu husema mtoto wa nyoka ni nyoka? 1993 mzee wetu ambaye ni babako alisimamia show ya serikali 3 kama vijana wanavyopenda kuita alikuwa hajielewi? Au wewe sio mtoto wa nyoka? Unamdhalilisha mzee punguza perepere za mtandaoni Willy
Maccm bana hadi mnatia hasira! Hivi akili za kawaida mmezihamishia wapi? Kutoa maoni kwenye tume hamkwenda ili mtoe hayo maoni yenu ya serikali mbili. Wametoa maoni wa serikali tatu mapovu yanawatoka. Hata wewe hukutoa maoni kwani hats utaratibu wa kutoa maoni hukuujua. Pia wanzanzibar sio hiyo...
Wanajukwaa wenzangu ni siku nyingine tena ya kutafakari hatima ya nchi yetu kupitia siasa zetu za kivyama. Binafsi ni mwanachama wa CHADEMA na pia ni kiongozi katika chadema CHASO. Ni muda muafaka sasa kwa chama changu kujibu mapigo kwa chama cha mapinduzi (CCM) kwa mambo ya kihuni na kipumbavu...
Hili suala wananchi kusikitika baada ya MATOKEO ndugu yangu linaletwa na vitu viwili tu
1.uliwaona wakisikitika wengi wao hawana shahada ya kupigia kura hivyo daftari la wapigakura lirekebishwe
2. Mazingira ya uchaguzi hasa ubabe wa viongozi wa serikali name CCM wakati wa kampeni pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.