Ndo kwanza wanaendelea kujipa moyo kuwa CCM itatawala milele, hapo kwa A town mmefika na moto huo unaenda kusambaa mikoa mingine kwa kasi ya ajabu! mtakuja kustuka 2015 mpira uko golini huku Chama pinzani kikiendeleza ushindi wake wa 4-0!
Tuwakumbushe CDM ni mpango wa mungu baadhi ya makada...
Mzee Tupa tupa vp ile kata ya Sombetini Arusha ikitangazwa tena uchaguzi wake mtaenda kujaribu bahati yenu tena kama chama? Na je bado kama kawaida Mwigulu ndo atakuwa Meneja kampeni wenu akiambatana na wale vijana wake 2?!
Lakini kwa suala la kujipanga kwa CCM najua unadanganya nyie ni sikio...
Kwanza kabisa Kamanda Lema nakushukuru kwa maneno mazito uliyoyaandika hapo juu, kiukweli najua unapitia wakati mgumu sana katika maisha yako ya ubunge hapo Arusha mjini lakini umeendelea kujipa moyo katika kuwapigania wanyonge lakini kubwa kabisa umekuwa ukimtanguliza na kumtumainia mungu kama...
Kaka paraghaph yako ya kwanza na pili imenitoa machozi!!!. Mi binafsi nashindwa kumuelezea Kamanda Lema kwa namna alivyo lakini itoshe kusema kuwa naungana na wewe katika haya uliyosema "nichukue nafasi hii ya pekee kutoa pongezi kwa kamanda LEMA kwa jitihada, mikakati,mbinu zilizofanikisha...
Unaweza kuwa sahihi lakini kulingana na joto la Arusha lilivyokuwa Chadema walihitaji kushinda hata kwa tofauti ya kura 1 tu kama wewe ni mgeni kwenye siasa za Arusha CDM wana next step inayotakiwa kufuatwa baada ya kushinda viti vyote 4 (i.e issue ya meya feki) Aidha ukumbuke kuwa kwa siasa...
Ki-ufupi naweza kukubaliana kuwa mtu kama Lema ni mpango wa mungu kwa magumu yote ambayo umekuwa ukiyapitia kiukweli hadi sasa naona umepungua kamanda pole sana kwa majukumu mazito ya kuwatetea wanyonge ipo siku historia itakukumbuka na hakika ushindi wa leo unaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo...
Kweli leo ndo nimekubali Lema ni kichwa kumbe chadema ilikuwa makini kumuweka kuwa mjumbe wa kamati kuu, ni kamanda pekee alieongoza mashambulizi ndani ya Jimbo lake katika kipindi chote cha kampeni leo tunaona matunda ya kichapo cha 4-0. Na hii ni heshima kwa ndugu zetu marehemu waliotangulia...
Mzee Tupa tupa Arusha utaenda wewe>>>???!! Chezea Lema wewe, kaamua kuachia posho zote bungeni halafu wanaLumumba wote wamehamia Arusha kwa mategemeo ya kupata walau kata moja. Waambie jamaa zako kuwa hata hao wananchi wanaofika kuwasikiliza kwenye mikutano yao wanawaenjoy mwisho wa siku...
Aisee kamanda pole sana kwa yaliyokuta kweli siku 92 ulizokaa selo ni darasa tosha, lakini usichoke wala kuwatumikia watanzania ambao bado wanahitaji ukombozi wa fikra hasa huko vijijini na zaidi ya yote tunapaswa kujua kila kitu ni mpango wa mungu CCM siku zao zinahesabika baada ya watu kuanza...
Uwakilishi wake Sengerema unahesabika 2015 baada ya kusikia kamanda Tabasamu katangaza nia nafikri kajipanga tena kutumia mamilioni ya shilingi kuhakikisha anarudi lakini makanda walishamwambia "wakati yeye anapita Busisi Makamanda wanakatizia Kamanga". Hapo Nyampulukano labda ununue shahada za...
Uwakilishi wake Sengerema unahesabika 2015 baada ya kusikia kamanda Tabasamu katangaza nia nafikri kajipanga tena kutumia mamilioni ya shilingi kuhakikisha anarudi lakini makanda walishamwambia "wakati yeye anapita Busisi Makanda wanakatizia Kamanga". Hapo Nyampulukano labda ununue shahada za...
Bora hata umeondoka ameondoka kwa sababu wapiga kura wa Jimbo la Sengerema hawakuridhishwa na hatua yake ya kuhongwa na William Ngeleja pesa ya kutosha na kuamua kukosea kwa maksudi kujaza fomu ya mgombea na kuwekewa pingamizi. Pia tunajua umeamua kujitoa baada ya kusikia Mhe. Tabasamu katangaza...
Mmmh kweli nimekubali CDM ina mtandao kutokea Ikulu hadi kwa Mwenyekiti wa kitongoji! Lakini njama zote hizo hazitakaa zifanikiwe kwani mungu ni mkubwa kwa majaribu yote chama kiliyoyapitia tungekuwa tunaongea mengine. Mzee wa Vuta Nkuvute upo! Kazi ya Lumumba kwa kushirikiana na TISS na mwaka...
Unapoandika uwe makini inaonekana wewe uko nje ya nchi labda, kwa faida yako kama Mhe. Mnyika aliwasilisha hoja binafsi kuhusu tatizo la maji Ubungo/dar ikatupwa afanye nini by the way si kazi ya Mbunge kuleta maji kazi yake ni kuisimamia serikali ili itatue tatizo hilo na kama hawataki awachape...
Vuta Nkuvute:Bado unasimamia uamuzi wako wa kutoenda Arusha kwenye ule mnyukano wa kata nne za udiwani? (maana ile ya tano ya Kamanda mawazo Lumumba wamechakachua!) Unaweza kututonya nani atakuwa kiongozi wa kampeni huko? Waambie Lumumba huko watapigwa kipigo cha mbwa mwizi ni wazuri wakakubali...
Kweli inatia uchungu! Nashundwa kuelewa kwenye vikao vya Chama kama kweli huwa wanajadiliana mambo haya. Lakini wanapaswa kuelewa kuwa watanzania wa leo si wajinga na wanaona kwani unaweza kumdanganya mtu kwa miaka 100 lakini hutafanikiwa kumdanganya siku zote. Tunaamini mungu ni mwema ipo siku...
Kwa aliyoyasema Lissu nina imani CCM mnahitaji kujipanga upya. Chezea Chadema wewe kwa mambo ya Intelijensia ni zaidi ya TISS. Ukiona unapata misukosuko mingi ujue ushindi unakaribia tumeanza na mungu na tutamaliza na mungu. Wao wana dola si tuna mungu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.