Suluhisho tukaichukue inchi yetu pale magogoni inchi imeoza hakuna wachumi hapa mnashindwa na kinchi kidogo cha comoro, "pesa yake ina nguvu, faranga 50 sawa na uero 1
Mie kwa ushauri madiwani wasiutishe uongozi fukuza wote ambao hawataki kufuata matakwa ya chama tuludi ktk uchaguzi naamini watu wa arusha wanajua kinachoendelea
Tatizo usalama wa taifa wa nchi hii wako kwa ajili ya kuzibiti wapinzani hilo ndilo wanalijua, nilikwenda congo mwaka kikazi nilikaa miezi nane wako makini kuanzia unapoingia kibali cha kazi, wanafuatilia unavyoishi muda wote sio kama hapa tz
Mnaonaje tukachukue nchi yetu kule kivukoni maana nilikuwa congo ukipandisha bei ya mkate mpaka raia watake sio sisi unaamka nauli juu, kisa mafuta soko la dunia wakati d'saalam kila kituo cha mafuta bei kipanga chenyewe, bila kukimbizana hatuheshimiani.
Wenzake kenya, uganda, ethiopia wanahangaika jinsi ya kutengeneza pesa na sudan kusini sisi tunahangaika na umeme na wizi ipo siku atalipa madhira yote haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.