Mkuu mbona umetuletea offer ya Ajabu namna hii? Hakika umeangalia mazingira halisi ya mtanzania. Nitakutumia namba ya dogo langu aje kukiona kesho na ikiwezekana mmalize biashara kama vipi...
Somo zuri mkuu.
Kinachorudisha nyuma wengi kwenye ujenzi ni kusubiri mpaka pale ambapo watapata pesa ya kutosha kujenga Nyumba nzima. Kumbe nyumba hujengwa pole pole tu, kwa kile kidogo kinachopatikana hata kama ni elfu 50
Kilo moja kwa Tsh. 100 ni wapi? Mbona bei iko chini sana. Na je ni mbaazi za mavuno ya mwaka huu? Quality yake ikoje, japo kwa picha! Kama quality ni nzuri tunaweza kupata soko la nje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.