The Boss huishi vituko wewe.......teh teh teh ........mi nahisi wakati wakuanza mapenzi huwa kunakuwa na "kufake" kwingi.
............tunafake mpaka lugha..............(chui mvaa ngozi ya kondoo)
Wakati wa kuachana tunakuwa kwenye uhalisia wetu..........na lugha tunarudi kwenye asili yetu...
Niliwahi kuwa peer councellor(uzazi wa mpango na STDs) siku za nyuma kidogo........japo tulipata training ya njia zote za kupanga uzazi.............sikuwahi hata siku moja kumshauri binti yeyote kutumia njia nyingine zaidi ya njia ya asili(kalenda) na condom kwani njia zilizobaki kila moja ina...
Mimi ninachokiona ni kwamba enzi za uhai wa baba yake episode alikuwa ameegemea upande wa baba yake ie hakuwa akifurahishwa na aliyokuwa akitendewa baba yake...............na taratibu akajikuta akijenga chuki na mama yake na kucreate distance kati yao.
Baada ya baba kufariki..........hana tena...
Ana umri gani?Mara nyingi wanawake huwa hawafiki kileleni kutokana sababu zifuatazo;
1. ......alianza sex kabla ya ndoa huku akiwa na dhana kichwani kuwa afanyacho ni dhambi........hivyo hufanya huku akiwaza kuwa anatenda dhambi na ni vigumu kufika kileleni.
2. Umri...kuna umri ambao wasichana...
Ni kweli hao frmson nimeawahi ona jumba lao la ibada lipo hapo nyuma ya kempiski......ukitokea IFM....mkono wa kulia.....lakini tulikaa hapo chuoni 3yrs hatujawahi ona anayeingia wala kutoka ndani ya jumba hilo.........tulikuwa tukisikia tu ni jumba la ibada kwa wanaomwabudu shetani.Nje...
Hapa nimekukubali mkuu..........
First born....mwanaume.........unalia machozi!??.........mwanaume kamili hutafuta ufumbuzi wa matatizo na si kulia
Umejiita masikini.......Umeridhika na hali uliyonayo!??.............yaani.....wewe si mlemavu......una akili timamu.....kwanini unashindwa kufight...
Hii kali.............teh teh teh ..................kweli nashida zake zisubiri pia.
Mi nashangaa sana wasichana wengine..............we mwanaume humpendi na inaonekana wazi huna plan naye ya leo wala kesho..............halafu vyake unataka....................kama una hali ngumu kiuchumi si uwe...
Suala si kujua tu zuri na baya.............................ni kujitambua na kutambua thamani yake kama kijana,kutambua lengo la uwepo wake hapa duniani kama mwanadamu.....kuweza kizikabili changamoto zinazomzunguka kama kijana.............................
Peter mi nimegundua wewe ni kijana...
Kupima hata mahospitali ya binafsi yanapima....................ila kwa kutoa ushauri wengine hawana hata muda......utafikiri anakuambia ukapime malaria................nimemshakumbana nao kama mara mbili...................sipendi kuzitaja hizo hospitali.
Yaani unamwambia docta,mimi ningependa...
Halafu ikumbukwe kuwa ukimwi uligundulika nchini miaka ya 80 mwanzoni..................(uligundulika.....sio ulianza).
Kuna wale waliozaliwa miaka hiyo na wazazi waathirika...............ambao walizaliwa wameathirika..................................
Wapo ambao immunity zao ziko juu na wanaishi...
Litakuwa jambo la busara sana..............mshauri naye aombe likizo ili peformance yake isishuke......................
Pia usimsisitize kwenda kupima kwa sasa.....................unahitaji kupata ushauri wa kumrudisha kwenye normal state kwanza..........
alafu ndio aanze kushauriwa...
Dah!..................kweli inachanganya sana...
1. Wewe kama rafiki wa karibu.......zidisha ukaribu kuliko mwanzo.............rafikio yupo kwenye shida kubwa sana.
2. Sina hakika kama walipoanza mahusiano walipima vvu kabla ya kujamiiana.....kwa hiyo hakuna wakumlaumu mwenzake
3. Kama ambavyo...
Umemshauri vizuri..............ila kwa kuwa hajasema kama ameshindwa kabisa kuendelea kusubiri.................si sahihi kumsindikiza huko uzinzini kimawazo/kiushauri................kutumia kinga ni last option kwa kijana wa aina hii.Ajitahidi kuendelea kusubiri.
Homonies zinapochemka si lazima...
Kwa kuwa wewe ulishindwa kusubiri ndio unataka kumpotosha mwenzako?Wewe uliyewahi mpaka leo umeshafikisha wangani?.....na umepata faida gani?(Kama ni ufahari......orodhesha true list yako hapa)..........ninachoona kwako ni kuwa ulikosa ushauri kwa wakati muafaka.
Kama unaona ni jambo...
Aliyekwambia mzazi/mlezi lazima awe amezaa ni nani?..............Tunaposema watoto wa siku hizi hawana maadili tumewazaa?
Am aged enough kuitwa mlezi......na nimeelimika vizuri kuhusu vijana/ujana na malezi........................so karibu kwa ushauri hata wewe ukipenda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.