Amani ya nchi hii kila simu inapotea kwa ajili ya CCM, chama hiki hakiko tayari kuachia madraka kwa njia ya amani ndio maana nguvu kubwa zaidi za kijeshi zinatumika kujaribu kuua upinzanini.ila CCM inabidi itambue kuwa kila kitu kina wakati wake.muda wa CCM kuwa madarakani umekwisha.
:yell:
ni kwel sana juu ya matokeo haya. CDM wanapaswa kuongeza nguvu kwa kasi zaidi kuelelekea 2015.kwani watanzania walio wengi wanahitaji elimu ya uraia zaidi.
aliyeandika hii post anamaanisha nini maana MKOBA hafundishi au alikuwa na agenda ya siri. watu kama hawa sio wa kuwavumilia maana ni mawakala wa watu husika.ni vema kuweka taarifa zilizo sahihi hususan katika mambo muhimu kama hili la mgomo wa walimu. MGOMO WA WALIMU ARUTA KUNTINYUWAAAA.
MARA...
Walimu endeleeni kugoma mpaka kieleweke na napenda kusikitika juu ya wanafunzi wa ilemela juu ya kuwafungulia kesi walezi wao badala ya serikali yao dharimu.
MAKALA KWA WAHITIMU UDOM MWAKA
Ndugu watanzania wenzangu tunayofuraha kubwa kusema kuwa leo tarehe 26/11/2011 chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) kimesherekea mahafari ya pili tangu kuanzishwa kwake mwaka 2007 na kutimiza takribani miaka ninne (04).Mimi binafsi ninayo furaha kubwa kwa kuhitimu shahada...
Jamani CCM ni chama ambacho kimekuwa kikishinda si kwa ubora WA SERA zake bali ni kwa propaganda za maneno na si kwa SERA za ukweli kwa chaguzi zote za vyama vingi. Sasa wananchi wameelewa maana na tofauti kati ya SERA na PROPAGANDA ndio maana hali yao ya kisiasa imebadilika sana kipindi hiki...
huyu ni waziri wa nchi ofisi ya rais (mahusiano na uratibu) wa serikali ya jamhuri ya muungano ya tanzania akisikiliza bunge la bajeti ya serikali ya mwaka 2011/12.wassira ndie alieachiwa shughuri za serikali bungeni na waziri mkuu baada ya mh.waziri mkuu kupata uzuru kwa siku ya jana.
Kwa sababu viongoz wetu si wasema ukwel,hawatekelezi haadi zao kwa wanafunzi.mfano. Udom waliaidiwa watakwenda fied lakini viongozi wamewadanganya. Hatima yake ni kuwarudisha kwa wazazi wao.kwel viongoz wa namna hii wanatufaa watanzania?
Kiongozi yeyote yule mwenye akili timamu hazez kuwafukuza watu wanaodai sehemu ya majukumu yao.wanafunzi wa udom walikuwa wanadai masomo kwa njia ya vitendo. "wakuu cheo dhamana"
Hiyo ndo serikali ya ccm inayo wafukuza wanafunzi wanaodai sehemu yao ya masomo ili kukamilisha shahada yao. Bila field kweli utafanya nini kazini. Miaka 3 unasoma theory tu hii sio haki kitaaluma jamani.
Hivi anautubia kuhusu bajeti wakati muda si mrefu itasomwa bungeni! anajaribu kuwashawishi wananchi na wabunge waipitishe! kwa nini asisubiri isomwe kwanza?
Am a business expert with degree holder in such field and experiences in works for 2 years. We can share much in your idea. Let me ask you one question;Is your business plan already be in written document?
Hao watu hawazidi 150 pamoja na kuhamasishwa na t-shet na kofia. Maana si mbali sana naona gari nyuma yao kama mita 20 tu. Haibu hiyo. Ccm wamebaki viongozi tu! Hakuna wanachama huo ndo ukwel! Hata mkikata mara 100000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.