nashangaa watanzania wengi kuishabikia tume hii aliyoiunda JK, siikandii na nakiri kuwa ina watu makini lakini tatizo langu linakuja kwenye uwakilishi wa makundi mbalimbali kama sheria inavyojipambanua. kama sikosei tume inaundwa 80% na wanasiasa na viongozi wastaafu kwa nini? wafanyakazi kma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.