Inawezekana kutumia line iliyomo kwenye router ya Airtell kwenye smartphone? Kama inawezekana kwa settings zipi? Nimejaribu kuweka naona hailete internet, wakati ina kifurushi cha mwezi.
Ulikaa bila yeye kwa muda gani? Ni yeye ndo aliomba mrudiane? Na mm imenitoka hiii. Mdada kasema kachoka nikajibu sawa. Mwezi wq nne sasa kila mtu na mishe zake.
Rebound relations huwa hazidumu. Éti ili umsahau inabidi uchukue demu mwingine?
Anatakiwa afanye maamuzi kama ni ku sort matatizo yao au kumuacha. Na akimuacha akae si chini ya miezie mitatu bila kua na demu mwingine akijitafakari na kumsahau.
Kwa sababu ni mambo yanayo mgusa kila mtu. Wachache sana walioko kwenye mapenzi yaliyo nyooooka. Wengi wetu tunapitia haya yaliyo msibu jamaa alafu kabla ya kujua tatizo na kupona tunajikuta tumesha ingia kwenye uhusiano mwingi ili kupoza machungu matokeo yake ni kuumiza wengine.
Acha kukaza fuvu pokea Upendo. Amejifunza ndio maana amerudi.
Mm imenitokea hiyo. Hua inaumiza sana. Muhimu kubalianeni kupeana muda wa kujitafakari kama bado mnahitajiana au lah
Kwa injini hiyo hiyo niliweka full tank Puma mwenge 33l nimefika nayo Arusha na kuzunguka kidogo mpaka taa imekuja kuwaka ilikua 621km.
Juzi kuamkia jana nikaweka hizo hizo zimenifikisha Dar na bado ninayo. Na hapo kati nilikilmbizana mnoo na LC 300 kwanzia mwanga mpaka mombo. Ashukuriwe huyo...
Hili tatizo hata mm ninalo gari ni ya manual, hutokea zaidi katika RPM kubwa. Bado natafuta ufumbuzi. Nimesha fanya mambo kadhaa yaliyo taja bila mafanikio. Na ubaya ni kwamba mafundi wengiii hawajui huo ugonjwa.
Kama ni leseni ya latra
1. Nenda Polisi utapewa control number utalipia alafu utaenda kwa Veco Atakagua gari alafu ataandika report.
2. Nenda kwenye website ya latra attach hiyo report ya polisi na kadi ya gari
3. Utapewa control number utalipia
4. Nenda ofisi ya latra ukaprintiwe leseni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.