Mtatiro anzia uolewe unaongea mipasho kama hadija kopa, we tulia ndani tu utunze ndoa yako mama, CUF mmebaki na kazi ya kupika na kupakua misosi kama mama wa hom, mlifurahi kuolewa bila kujua nyie ni watoto wa kiume mkafikiri itakuwa rahisi sio, sasa inakula kwenu.
hawa police niaje wamekuwa wa******ge kiivyo? sasa tunasema tutaandamana na hao alshabibi alshabab siku hiyo ndio tutakuwa sisi. Huyu KOVU ameanza kuchanganyikiwa nn? alshabab wanaonekana pindi yanapotangazwa maandamano tu? na kama wapo basi huyo kovu na police wote ni ma*****ma walikuwa wapi...
Kifo cha nyani miti yote huteleza, akamuulize Masha yaliyomkuta,wananchi hawawezi kusikiliza sauti zisizo na mpangilio wa ala wala sauti kwani huumiza masikio they jus making noise pollution like Automobile Industry in Germay then wanataka tuwasikilize? kwa lipi? hiyo mipasho?.
VIVA LEMA Hakuna Gereza lolote wala silaha yoyote ile ilishawahi kuzuia uhuru duniani, nenda kumuulize Mandela, Kenyata na Ghadaf ukikutana nae atakuambia, hili polisi wanalofanya ni upuuzi mtupu coz mwisho wake ni kutolewa kwenye makalfati na mitaro ya maji machafu kwa ndosi za ukweli
Hawa watawala wababe wanaotisha wenzao hawawezi kuua wala kutishia nguvu ya umma kama Ghadaf, lakini leo hii huyo ghadafi yuko wapi na majeshi yake yakiwamo yale ya sweet killers yaliyokuwa yakiua wapinzani????nasema ipo siku wataz tutawakimbiza mpaka kwenye makalfati na tutawachomoa huko kwa...
leta mambo jombaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ni heri vita ya kutafuta usawa na haki kuliko amani inayopumbaza na kuudhalilisha utu wa mwanadamu, mtanzania acha woga weka hiyokitu hapo coz ni heri kuishi miaka michache duniani, jina lako likabaki linaishi kwa wema na haki duniani kuliko kuishi miaka mingi...
nepi hana jipya kwa wananchi? nilishamshauri aache kutumia makamasi kufikiri wakati akihutubia lakini hakusikia, na hii ndio faida yake. crap crap kwa wanarorya siku nyingine watamfukuza mpaka kwenye makalfati zen wamchomoe huko na ndosi za ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.