This is what we call bubble gum music hii ngoma hit life yake haizidi miezi 6,hongera zake though kwa kazi yake mpya,
Binafsi nitaendelea kubaki kuwa muumini mzuri was mipini ileee ya miaka ya Giza ambayo iliutambulisha muziki wetu wakitanzania na afrika kwa ujumla.
Ngoma kama marashi ya...
Aiseee!!! Mkuu mwaka wa uchaguzi huu jipange hakikisha hurudii makosa yalee ya kumpigia kura mtu usiyemjua matokeo yalipotoka unashangaa tena!!,Fanya hima tuwatoe hawa watu wa mtaa lumumba then am sure muda huo wametoka hata huyu msichana mtakuwa mshajuana so utamuoa vizuri tu
Hahaha duuh hii ni kweli???
Nakumbuka juzi mh mkosamali alisema serikali imezidiwa akili na wakurugenzi wa makampuni binafsi kama presicion na fastjet so serikali ikayaaombe haya makampuni binafsi kupeleka ndege zao comoro
daah kuna hii moja katoa mtu mzima GK pamoja na promo kibao bado wananchi wamegoma aisee!!!
katika hiyo list yako mkuu watoe weusi - safari na ben pol then king crazy gk na hili song lake jipya.
ngoma ya mwisho kumuelewa GK ni ngoma ile ya Sister Sister baada ya pale ni masihara tu
inawezekana na idea nzuri saana ambayo nchi zilizoendelea zinafanya ila kwenye nchi hii ambayo miaka 50 ya uhuru bado wabunge wanaomba visima na hata hao askari magereza wanakaa kwenye mbavu za mbwa bado.
Nijuavyo mimi visitation ya namna hii inahitaji zijengwe nyumba ama vyumba tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.