HABARI ZA KUAMINIKA TOKA ARUMERU.
EDUARD NGOYAYE LOWASSA AJITOSA
RASMI KWENYE KAMPENI ZA SIOI.
Mbunge wa Monduli na Mjumbe wa NEC CCM Amejitosa rasmi kwenye kampeni za ubbunge Arumeru Mashariki.
Habari za kuaminika zinasema leo ni siku ya Tatu tangu mzee Lowassa ajitose kwenye...
Naomba Kuuliza..
CONCERN FOR THE ELDRLY (COEL)
TANZANIA.
Ni kina nani hasa hawa...?
Leo amefika mgeni Ofisini kwangu toka
NGO ya COEL (DICKSON ISRAEL SWAI)
Kijana huyu anadai kutumwa na NGO hiyo kuja kutoa elimu kwa wananchi wangu.
Juu ya haki ya Vikongwe.
Na pia amekuja...
...Kijana za LEO LEO WE KWELI KILAZA.....
Umejigamba unakuja kumwaga ukweli hapa mbona hujaja na huo ukweli na pc ulizodai za Ufisadi wangu..
Nina mashaka na uelewa wako... Na inawezekana una matatizo ya akiji...
Hahahha udaku huo taja mwaka wangu wa kuzaliwa...
Na pia lete doc ya mimi kula pesa za watu...
Na pia toa data zangu naishi wapi nafanya nini na zaidi eleza unavyonifamu.....
Ila umeingia choo cha kike huna ujualo....
Juu yangu zaidi ya umbeya na udaku....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.