Search results

  1. J

    Poleni sana mussa hussein na wasiwasi mwabulambo wa clouds fm kwa kufanya kazi na huyu "kibonde"

    Swala hili ni tata kigogo mimi matokeo haya nizao la kutoheshimu taluma za watu na uzembe wa wizara pamoja na serikali,jamani tukumbuke mwaka jana hawa jamaa walilazimishwa kurudi kazini kwa nguvu ya mahakama walipokuwa na mgomo kudai stahili zao leo matokeo mabaya mnashangaa nini? serikali hii...
  2. J

    Ni Naibu Waziri yupi aliyemchafua Mengi?

    ok nashukuru kwa kupata mwanga maana jana mheshiwa huyu aliposema maneno haya nilifikiri lakini sikujua ni nani,nawashukuru walio mtaja Napata picha halisi sasa
  3. J

    Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

    Economically the guy was ok you can't compare with the present one is believing on loans to from up country this is strange presider
  4. J

    nataka kununua gari aina ya toyota funcargo under 100,000 milege

    Naweza kukupa msaada but from Japan muda mwingi nafanya hizo issue
  5. J

    Serikali kuanzisha sarafu mpya ya mia tano

    Ki uchumi sio Vizuri kuwa na sarafu za thamani kubwa ,uchumi ulikomaa inafaa kuwa na sarafu zenye value ndogo au noti isiyo zidi mia tano 500 ,mfano UK and US hwana hata noti ya 1000 maana yake kuwa uchumi umekuwa,nashauri wachapishe pesa mpya na kiwango cha juu cha noti iwewe buku na wafanye...
  6. J

    Dont try this at office

    duh hii ni ya kufungia mwaka 2011 anatamani lakini si unaona
  7. J

    Urgent-joto kali

    Mkuu kwanza pole sana najuwa mzazi yeyeto huwa anakuwa na raha na amani pale anapoona familia inafuraha vinginevyo full kuhangaika nakushauli nilikuwa na mwanangu alikuwa na tatizo hilo,mpeleke kwa PROF Masawe huwa anapatikana Hindumadal hospital laikini kwa appointment neda Hindumandal omba...
  8. J

    kupanda bei ya mafuta ya taa

    Ukweli ni kwamba hapa inaonyesha kabisa Serikali yetu isivyo uweledi wa mambo na isivyo juwa kuwajibika juu ya wananch wake has wa kipato cha chini,wala lakupandisha mafuta ya taa huku wakidai wanapunguza uchakachuaji ni ukosefu wa uwajibikaji kwani kazi ya serikali na asasi zake ni kuthibiti...
Back
Top Bottom