Msulibasi
Me si mtu wa league. Ila tofautisha kuongelea historia ilivyokuwa na uhalisia wa sasa. Aliongelea historia na ni kweli ilikua hivyo! Baada ya kuongelea hayo yote alisemaje? Akaongelea mabadiliko yaliyofanywa na serikali kuondoa hizo technical differences. Kama katoa Maelezo...
Wadau nimegundua watu tunaweza msikilize mwalimu mmoja ika uelewa wetu ukawa tofauti. Kungunge kaongea vizuri historia ya mahakama kabla na baada ya ukoloni. Kama mmemuelewa alisema kabla ya ukoloni kulikua na mahakama 3, ya mkoloni, kimira na kadhi. Ila baada ya kupata Uhuru na kuungana kuwa...
ISI M.CodD! why do you feel happy to loose your identity because of the so what kuchangia mjadala! Inanishangaza sana watanzania tena vijana tutaanza kujitambua lini? Haiihitaji kuficha ID yako kama wewe ni raia wa Tanzania usiyekua na Shida! Muda si mrefu huu upuuzi utaisha. Unakuta mtu anatoa...
Wewe msikilize mkeo anasemaje. Akikuambia wa kwako kamata hiyo kijana chapa vibaya sana. Hata kupewa mtoto wa kusingiziwa ni sifa ya mwanaume anayejali. Tena vijana kama hao ndo wa kutolea mfano na ikibidi mtafutie mabouncer wamle 0713!!!
Kwa kifupi ni kwamba pesa alizogawa lugemalira hazijafikia 10% ya income yake! MUsiwe kama kid boy anayeangalia ukubwa baada ya proportion! Wewe ukigawa buku moja kwenye elfu kumi umetoa asilimia 10% ya mapato yako. Ila 1.6 billion kati yo 70 billion is just 2% ya mapato ya lugemalira! Hivyo...
Kutatua matatizo ya nchi hii sio kuitoa CCM madarakani! Sisi tutawaonyesha njia mbadala ya kutatua matatizo yetu kwa kushirikiana na serikari iliyopo madarakani! KIMTAZAMO ZAIDI NA FIKRA ZA BUSARA!
Tatizo fikra zenu sio za kujenga bali ni kubomoa! Mtuambie nyie mmefanya lipi tofauti na kuongea! Endeleeni kuongea sie tunatenda! Mlimkataa Raisi lakini sasa mnamkubali.....mlijitoa bungeni lakini leo mmerudi..si mngeondoka jumla...mlisema mtakataa mchakato wa katiba mpya leo mnajifanya...
Huyu Sitta hata mie siumuelewi! haiwezekani Ngo'mbe akalala katikati ya Simba! hata kama simba hao wameshiba lazima watamlamba hata nywele! Hao wote wamoja tu! Hakuna mkweli yuko mpaka sasa CCM tena na Madaraka makubwa! Ajitoe huko then atueleze ukweli tutamuelewa Zaidi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.