Tindikalikali we ndo unaujinga. mtu yeyote ana haki ya kuongea na uhuru wa kufanya kazi pia. Walimu wangu wachague mazingira mazuri ya kazi maana sekta yao ndo imesahaulika mshahara wa mwenye degree anazidiwa na nurse mwenye diploma wapi na wapi Hebu walimu chagueni pa kwenda bwana ili nanyi...
Wanajamii rafiki yangu tuko nae kazini ameshitakiwa na mkewe kwa kosa la kupiga na kumjeruhi jino, jino limelegea. Yuko nje kwa dhamana. Je sheria inasemaje kuhusu adhabu ya mtuhumiwa. Ni kifungo cha muda gani ama faini kiasi gani? Je ni zipi haki za aliyejeruhiwa anazopaswa kulipwa? Je...
Mheshimiwa mbasajohn naweza pata attachment za sheria hizo kuhusu haki za wanandoa kunapotokea tatizo ama wakati wa urithi wa mali ikiwa mmoja wa wanandoa amefariki. Na haki za mwanamke ikiwa mme aliacha wosia ambao mke hahusiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.