Search results

  1. M

    NAPE: Ipo siku wananchi watawapiga mawe viongozi kwa unyonyaji'

    mbona walianza na mkuu wa ufisadi JK walimpopoa na mawe mbeya!! au nepi hakuliona hilo?
  2. M

    Vurugu Mwanza: Wamachinga Vs. Jiji - Damu yamwagika

    Na hili nalo watasema chanzo ni CHADEMA!!!!!! wapeni vijana haki yao!!!!!!!!!
  3. M

    Sitta na Mwakyembe kunguruma mbeya

    hawezi kurudi kyl cos ana ahadi nyingi na hajaanza kutekeleza hata 1!!wamempa jina a.k.a Mr PROMISE!!!!!!!!
  4. M

    CHADEMA sasa wajuta

    kazi mnayo!!! mtatafuta mchawi hadi mrogane ninyi wenyewe!!!!! chadema mwendo mdundooooooooooooooo!
  5. M

    Wapi Prof. Kapuya?

    alikwisha Chukua Chake Mapema(ccm)!!!
  6. M

    Uchaguzi wa M/kti CHADEMA mkoa wa Mbeya waahiriswa

    magamba!!! kwa taarifa yenu mmeshindwa mlango wa kutokea!
  7. M

    Mchungaji Msigwa atakiwa kutoa Uthibitisho wa Madai yake Bungeni leo

    we kilaza au ulizaliwa kwa bahati mbaya? uanataka nidhamu ya namna gani? au tuwalambe hao vilaza wenzio(magamba) miguu yao ndio uta jua tunanidhamu!!! na hilo ni trera bado picha yenyewe!!!!! aluta continua pastor msigwa!!!!!!!
  8. M

    Uchaguzi wa M/kti CHADEMA mkoa wa Mbeya waahiriswa

    Kutokana na hujuma ambazo baadhi ya wagombea walizokuwa wakizifanya, na hivyo taarifa hizo kupelekwa makao makuu ya chama taifa hivyo maamuzi yaliyokuja ni kuwa uchaguzi usitishwe hadi hapo taarifa nyingine itakapotangazwa! Hivyo wanachadema mbeya tuwewavumilivu na makini kwa hili
  9. M

    Mgombea uenyekiti CHADEMA (Mbeya) akimbia mdahalo!

    indicators za magamba zimeshaanza kujitokeza kwa baadhi ya wagombea wa nafasi ya m/kiti chadema mbeya!! Mmoja wa wagombea anayejiita ''mzee wa upako''(john mwambigija)alikimbia kwenye mdahalo ulioandaliwa na chama ili wagombea hao waweze kujinadi lakini huyo bwana aliingia mitini. angalizo kwa...
  10. M

    Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

    kamanda umenena,kwa sababu waajiri wake ni sisi (wananchi wa kyela) hivyo kauweka sisi kama vilaza!!! mwakyembe............ tafakari...........chukua hatua!
  11. M

    Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

    hatudanganyiki tena!!mwambie huyo mbunge akamuulize mwakipesile kilichomtokea, naye alipendwa sana ila aliondoka kama mbwa! bado yeye!! mwaka 2015 jimbo linaenda chadema!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  12. M

    Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

    sio kwamba namhukumu ila yeye mwenyewe alisema kila kitu kimekamilika hivyo bado ujenzi tu.hivyo atueleze kama katika bajeti fedha zimetengwa au tuendelee kumuita ''mr promise''!!!!!!!
  13. M

    Uchaguzi wa m/kiti chadema mkoa wa mbeya.

    kweli kamananda tupo pamoja tutashinda ila tuchukue taadhari mapema!!!!!!
  14. M

    Uchaguzi wa m/kiti chadema mkoa wa mbeya.

    uhai wa chama mby utaletwa na wanambeya wenyewe!!!!!!
  15. M

    Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

    Wakazi wa kyela naomba sana mchango wenu kwni hiyo barabara inatutesa na ikumbukwe kuwa kyela hatuna barabara yoyote iliyojengwa kwa kiwango cha lami tangia tumepata uhuru (miaka 50), hivyo ni haki nawajibu wetu kudai hiyo bara bara!!!!!! tafakari, chukua hatua!!!!
  16. M

    Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

    mimi ni miongoni mwa wakazi wa kyela!!!! kwenye uchaguzi mkuu 2005 mgombea ubunge wetu(mwakyembe) alituahidi mambo mengi tu lakini yaliyokuwa yametugusa sisi wakazi wa kyela hadi tukaamua kumpa ushindi mkubwa ni- 1. kutujengea kiwanda cha kusindika matunda 2. kujenga stand kuu ya kisasa 3...
  17. M

    Uchaguzi wa m/kiti chadema mkoa wa mbeya.

    wajamvi hasa mlioko mbeya tunaomba mchango wenu sana hii ni kwa manufaa ya chama chetu!!!! tusirudie kosa tena!!!!!peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!!!!!: poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!!!!!!!!!!!!1
  18. M

    Uchaguzi wa m/kiti chadema mkoa wa mbeya.

    uchaguzi wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa m/kiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambalala(gamba jipya) unafanyika tarehe 20/06/2011.hivyo wawakilishi wetu kwenye uchaguzi tunaomba msirudie kosa mchagueni mtu ambaye ni 1.muadilifu 2.mwenye uzalendo kwa chama 3. mtu ambaye...
  19. M

    Viongozi hawawezi leta Maendeleo - Mkapa

    Habari zenu wanajamvi! naomba kuuliza hivi raisi wetu wa awamu ya 3 kapata wapi ujasiri wakujitokeza hadharani na kutoa matamko mazito licha naye kuwa na shutuma za ufisadi, au ameishaona kuwa aliyempokea kijiti ni kilaza zaidi hivyo kaamua kuokoa jahazi?
Back
Top Bottom