Ni baada ya kuona upinzani hauna tija,unapingaje hata lililo jema kwa wananchi wako. Kizuri kiwe kipi? Kwendeni zenu huko, mmejawa na makelele tu na bado.
Wengi wenu mnaropoka na kucoment bila kubalance story,upande wa halima hamjui kitu,upande wa ccm hamjui lolote na upande wa chadema hamjui pia.
Hivi siku mkija kufahamu kuwa wabunge wa upinzani wote ni mapandikizi ya usalama mtaficha wapi sura,mkae kwa kutulia ccm ni chama makini na hakishindwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.