Watu tujikite kwenye hoja za msingi,........
Watanzania wenzangu mbona tunakuwa wepesi wa kusahau tunakimbila kwenye hoja zisizo na mashiko,...watu wanalalamika kafulila kaonewa,..kwangu mie hainingii akilini,....
Ilikuwaje jamaa akaomba msamaha kama kweli alikuwa anapigania haki yake kwenye...
tanzania taifa ililopoteza mwelekeo, matumaini hayapo tena juu ya
​
1;maisha bora,
2;huduma za afya bora,
3;elimu bora,
4;miundombinu bora,
5;nishati bora,
6;unafuu wa gharama za maisha
ni lini watanzania wenzangu tutachukua hatua dhidi wale waliolihujumu na wanaolihujumu taifa na...
mie napingana na nyie,.......kuhusu shibuda ,..yeye alipingana na sera za chama chake ambazo alitakiwa kusimamia kwa sababu ilani ya chadema ndio iliyompeleka bungeni,....kwahiyo kulimwa barua ni muhimu,...!!!!!
Dada huyu shy-rose banji sizani kama anampango wa kuhama chama kwani kama ni hivyo...
Mie binafsi namponeza kwa juhudi zake za kuwa mkweli na kusimamia kile anacho amini,......sijaona kosa lake kama wengi mnavyomtuhumu,....kwani ni wachache wenye uwezo wa kusimama na kusema ukweli ndani ya chama cha mapinduzi,...!!! Na ikumbukwe si yeye pekee ndio ameanza kosoa chama hiki...
Kaka .....shy-rose banji ni mfano wa kuigwa ndani ya chama cha mapinduzi na pia ni mfano kwa wanaharakati wote kwani anauwezo wa kusimamia kile anachokiamini ni sawa,....!!!
Ni kweli chama hiko kimeoza lakini kujitokeza kwake nakuwa side ya wanyonge ambao ni watanzania wengi ni ujasiri wa khali...
Kaka .....shy-rose banji ni mfano wa kuigwa ndani ya chama cha mapinduzi na pia ni mfano kwa wanaharakati wote kwani anauwezo wa kusimamia kile anachokiamini ni sawa,....!!!
Ni kweli chama hiko kimeoza lakini kujitokeza kwake nakuwa side ya wanyonge ambao ni watanzania wengi ni ujasiri wa khali...
nape acha kuwa kama samaki aliyevuliwa, . . . .jibu hoja za gazeti husika na si kuja na majibu ya jumla na hoja nyepesi hapa!!!! Kukimbia kwako katika jamvi hili sitoshangaa kwani imekuwa ni kawaida yako, . .wewe ni nani ambaye hautaki kukosolewa??? Na ni kiongozi gani usiyependa...
I have gone through your letter, . . . .all ur doing z criticizing her!!!!!!!!!!! Sawa anaweza kuwa amechelewa kufanya hayo anayoyafanya lkn mm naweza sema amethubutu kuwa mkweli katika chama chake kwani anamapenzi na chama chake, . ...mie nafikiri tusiwe na hoja dhaifu ati amefanya haya...
Hawa watimuliwe tu, mie sioni haja ya kuvutana hapo. . . . .!!!!!!!!! Kama ni kwenda ccm wacha waende wananchi wa arusha ndo watakao amua nani awaongoze, . . .
Oscar Gilbert
KUHUSU MAUAJI YA MARA NA JINSI TUNDU LISU ALIVYOYEYUSHWA ALIVYOULIZA SWALI BUNGENI, BASI HUU NDIO UKWELI KUTOKA KWA MSHIKAJI WA CANADA, NIMEKOPI NA KUPASTE KAMA HIVI:
Nimeiona sehemu naomba tuisome 'Habari nyeti za kiinteligensia zilizovuja kutoka ndani ya Barrick Gold
HQ...
hayo ndo majibu ya jamaa kule wanabidiiiiiiiiii............
Dkt. Lwaitama,
Nimeishajieleza sana hapa na nilichokieleza ni sahihi to the best of my knowledge. Sasa nieleze kipi tena jamani? Its up to you our readers to choose which is the truth? His word or mine?
Labda kama kuna mahala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.