Search results

  1. 8

    Nini chanzo cha utoaji mimba uliyo kithiri kwa mabinti wa kizazi cha sasa?

    Inaonyesa kuwa wasichana wengi wa kizazi cha sasa wamefanya fasheni katika tendo hili la utoaji mimba hali ambayo inapelekea kutokea kwa vifo vingi vya mabinti hapa nchini.Je nn chanzo cha utoaji mimba uliokithiri kwa mabinti wa kizazi cha sasa?
  2. 8

    Nini chanzo cha kuvunjika kwa ndoa kwa jamii ya sasa?

    Inaonyesha kuwa ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwasababu ya umasikini ambao unapelekea ndoa nyingi kuvunjika .je hiyo ni sababu ya mzingi inayopelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa jamii ya sasa ?
  3. 8

    je kati ya mvulana na msichana yupi ambaye si waaminifu katika swala zima la mausiano?

    Inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wavulana siyo waaminifu katika swala zima la mausiano ya kimapenzi kwa kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja je ni kweli?
Back
Top Bottom