Inaonyesa kuwa wasichana wengi wa kizazi cha sasa wamefanya fasheni katika tendo hili la utoaji mimba hali ambayo inapelekea kutokea kwa vifo vingi vya mabinti hapa nchini.Je nn chanzo cha utoaji mimba uliokithiri kwa mabinti wa kizazi cha sasa?
Inaonyesha kuwa ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwasababu ya umasikini ambao unapelekea ndoa nyingi kuvunjika .je hiyo ni sababu ya mzingi inayopelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa jamii ya sasa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.