Yapu na sana tu nakumbuka kuna siku alipigwa figisu za viwanja vya mikutano pande za Kirumba na Ma CCM kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa diwani..akaletewa na wavuvi mitumbwi kama yote mitaa ya Magomeni akafanya mkutano mmoja mkubwa sana akiwa ziwani/majini.Na kumbuka CDM walitetea kata...
Wahusika ni CCM tu.:.Lipeni chawa wenu hao muache janjajanja...hali zao mbaya,..siyo kuwa bebesha mabegi ya kura za maruhani kuwahujumu CHADEMA kwenye Chaguzi tu kisha munawatosa....!!! Nayo yamo tu...She...nzi ...Type..CCM Hoyeeee!.....
Acha ujuha ni mipango tu....hata kwenye M4C ...hili lilifanyika ,alianza Mbowe angani,Dr.Slaa akiwa ardhini,baadaye wakakutana Geita,wakabadilishana,Dr.Slaa na akina Marehemu Alphonce Mawazo,Tabasamu,wakachukua Chopa na Mbowe akaendelea na usafiri wa gari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.