Search results

  1. E

    Simba imepiga bomu Mochwari, Kelele kama zote

    Je, current form wapoje?Wapo hoi. Hata kusafiri wanasubiri kusaidiwa na chama chao cha soka. Kiuchumi hoi, utawala wapo hovyo. Imewaatihiri sana kwenye ubora.
  2. E

    Hawa Marefa wasipodhibitiwa watatuharibia mpira

    Tabia hizi za marefa zimekomaa kwa sasa kwani zilianza muda mrefu. Hata kipindi cha 2017-2021 kwa simba kupewa penalty kama hizi imetokea sana. Lakini wadau mlikuwa kimya. Mnafikiri itakuwa rahisi wakati kidonda kimekomaa.
  3. E

    Hata TTCL wamepandisha bei ya vifurushi

    Hakika wameua. Mimi nilikuwa halotel, walipopandisha gharama nikambilia ttcl. Sasa sijajua nikimbilie wapi?
  4. E

    Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

    Hilo silipingi. Hata mimi ndoto niliyo nayo the same to yours. Tusubiri matokeo. Tutarudi hapa kukamilisha ndoto.
  5. E

    TAMISEMI na Wizara ya Elimu, michango mashuleni imerudi?

    Elimu bila ada. Hivyo, michango ipo
  6. E

    Msaada kwenye excel!

    Changamoto aliyonayo hata mimi ilinikuta. Tusubiri wajuzi watatusaidia.
  7. E

    Msaada kwenye excel!

    wataalamu wa excel msaada. Mimi ni mwalimu. Nina orodha ya wanafunzi wangu na alama walizopata katika mtihani. Lengo ni kubadilisha alama katika asilimia kwenda kwenye mfumo wa daraja A, B, C , D OR F kwa kila somo. Changamoto inakuja pale ninapo kopi formula ya nested if function. Kwenye...
  8. E

    Msaada wa program nzuri ya ku - type Mathematics

    Tumia MS word ya kuanza 2007 ina alama nyingi sana za hesabu.Nenda INSERT->SYMBOL utazikuta. Hata maumbo yanapatikana kwenye word. Nenda INSERT->SHAPE utayakuta.
  9. E

    Msaada wa link wadau...

    Ninaomba msaada wa link inayoweza kunipeleka ku-download drivers zinazoweza kufanya kazi kwenye printer yoyote. Iwe ni ndogo tu (light weight). Nimepekua sana nimeshindwa kupata.Ninatumia windows 7 starter, 32 bit.Ninatanguliza shukrani kwa msaada wenu. Ahsante.
  10. E

    Ninaomba msaada kuhusu settings za internet kwenye tecno T612...

    Nimenunua simu tecno T612. Nimekwa kwenye settings za internet. Msaada tafadhali.
  11. E

    Wanakwaya Arusha Walipuliwa kwa Bomu

    Niliweka link(Habari Leo) kukupeleka kwenye habari na chanzo chake.
  12. E

    Wanakwaya Arusha Walipuliwa kwa Bomu

    Niliweka link(Habari Leo) kukupeleka kwenye habari.
  13. E

    Wanakwaya Arusha Walipuliwa kwa Bomu

    Habari hii nimeikuta kwenye tovuti ya gazeti la Habari Leo.
  14. E

    Ni sahihi kigezo cha kusoma private schools hasa za gharama kutumika katika kutoa mikopo ya bodi ?

    Ni sahihi kabisa kwa hoja zako nzito.Wahusika wanatakiwa kuzifanyia kazi hoja hizi ninaamini wanapita JF.
  15. E

    Msaada: Frequency za tbc1

    Mimi ninaipata kwenye 3893H3072
  16. E

    Msaada:Kwa anayezijua shule za sekondari Tinde na Florian...

    Mkoa na wilaya zilipo na historia kwa kifupi?
  17. E

    Msaada:Nimepoteza "product key" ya "ms office professional edition 2013"

    Imegoma mkuu, inaniambia "you have not entered a valid key"
Back
Top Bottom