umejitahidi sana kumchafua Marando kwa insha hii, lakini umeshindwa kutofautisha alichokifanya huko NCCR na anachokifanya CHADEMA. kwa maneno yako umeandika kuwa alitaka kuwang`oa akina Mrema na hao wengine uliowataja, katika uongozi wa NCCR. Kwa maneno yako pia umeandika kuwa huyu Marando...
Wewe hujui unachokisema, NSSF hawatoi mafao kwa watumishi wa umma. Ni vema ufahamu kuwa NSSF ni mfuko wa wafanyakazi wa sekta binafsi ambapo hata watu waliojiajiri uwekeza/uweka akiba katika mfuko huu.
Huyu, Lusinde ni janga la taifa kama ulivyo ugonjwa wa ukimwi. Jitihada zinahitajika kumuondoa bungeni. Binafsi ninajitolea rasmi kuanzisha nguvu ya kumfuta bungeni 2015.
Nadhani mimekuelewa vilivyo mkuu, unamaanisha safari za kwenda Lilongwe zitaongezeka na kusababisha hasara kubwa kwa nchi yetu. ohooo, Si unajua tena jamaaa na vimwana. au? ahaaaaaa!!!!!!
Ni wazi kuwa wewe uliyeandika makanusho ya ukweli aliousema Mh Zitto ni mtu uliyeshiba wala huna njaa. umejitosheleza kwa kila jambo kutokana na kodi za watu (watanzania) masikini. Kushiba kwako kumekufanya ulewe na kushindwa kutembea hata umbali wa kilomita tano kutoka hapo unapopaita makao...
Ndugu Dickson Maimu ni miongoni matanzania wanaofaa kutolewa mifano, ni mzalendo sana. Tukio la hivi karibuni alilolifanya kwa kutoa taarifa sahihi za uozo uliopo kwenye majeshi yetu ni kitendo cha kijasiri na cha kizalendo kinachostahili kuigwa na kila mtanzania. Ebu fikilia vyombo vinavyoitwa...
Umenivunja mbavu kwa utani huu. Mtafute mtu mmoja anayeitwa Masaburi, nadhani anaweza kusaidia kutueleza huyu mkuu wa mkoa wa dar anafikilia kwa kutumia kiungo gani cha mwili wake.
Unaonekana kufanya kampeni zaidi ili kupata ajira. Nimekupata ipasvyo na ninatambua kuwa ICT ni muhimu sana kwa maendeleo, lakini siamini kuwa hao unaowapendekeza ICT officer wa mikoa na wilaya watafanya chochote kupitia system hii tuliyonayo sasa. Hatua hii itakuwa kuwaongezea mzigo walipa...
Hongera sana. Binafsi nimefurahishwa na UUNGWANA wako. Ni wachache wenye moyo na ushujaa wa kutoa shukrani hasa katika kipindi kama hiki ulichopitia. Naamini sasa unaweza kusonga mbele zaidi ya hapa ulipoishia leo. Kama ulivyosema mwenyewe unajipanga na kuangalia makosa yako, jitahidi...
It is our wishes that this kind of unitary government reaches its end. With these kind of (segregate) ideas from one part of the union our wishes are around the corner. We need Tanganyika
Wenzengu tuache ushabiki huu wa ajabu. Hii mada sio nzuri wakati huu. Lakini pia ninawaomba tujaribu kutofautisha kati ya kiongozi na mtendaji. Hawa wawili ambao leo kwa makusudi mmeamua kuwafanya MADA, hawafanani hata kidogo. Zifa zao ziko tofauti kabisa. Mmoja anafaa kuwa waziri mkuu na...
Wenzengu tuache ushabiki wa kitoto. Hii mada sio nzuri wakati huu. Lakini pia ninawaomba tujaribu kutofautisha kati ya kiongozi na mtendaji. Hawa wawili ambao leo kwa makusudi mmeamua kuwafanya MADA, hawafanani hata kidogo. Zifa zao ziko tofauti kabisa. Mmoja anafaa kuwa waziri mkuu na mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.