Waungwana nina binti yangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2016,kafaulu vizuri masomo ya sayansi.
Nimeona nijiongeze tu kumpeleka shule ya private kwaajili ya form five.
Nilijitahidi mwezi uliopita kufuatilia marian girls na kandoto girls nikaambiwa walishaanza masomo mwezi wa tatu,sasa...
hilo ni tatizo la hormone imbalance,anatakiwa aende kumwona daktari bingwa wa wanawake amsaidie,tatizo hilo pia linaweza msababisha asipate ujauzito,so nivema aanze kulishughulikia kabla hajaolewa.
Wadau naomba mnisaidie katika hili.
Mwanangu ni amefeli kidato cha nne kapata daraja la nne na pointi 40,hataki kurudia (Kureset) sasa naumiza kichwa nimpeleke chuo gani aweze kujiendeleza kimasomo.
Matokeo yake ni kama ifuatavyo:
Math F
Biology E
Civics E
Geography E
History F
English D...
Kwenu wana JF,
Nimekua nikitokwa na vipele kama vijipu uchungu kwenye mapaja yangu kwa musimu,yani kinaweza kutokea kipele kimoja au viwili,kikitokea eneo lilipokizunguka panakua pekundu baada ya muda kinapotea kinaacha alama nyeusi,Ninaweza kukaa muda mrefu bila kupata ila ni tatizo...
kwenu wanadau,
Nahitaji kuhudhuria trainings na seminers zinazohusiana na mambo ya mikopo na nyingine zinazohusiana na hizokwa yeyote mwenye ufahamu ni wapi nitapata mafunzo au ni nani hua wanaendesha mafunzo hayo naomba anijulishe.Natanguliza shukrani zangu.
Nimemaliza chuo mwaka jana Ba. Business Administration nipo kwenye kampuni moja changa nafanya tempo ila wakati natafuta kazi sehemu nyingine mpaka sasa sijafanikiwa.Naomba ushauri ni sehemu gani nikaombe intership ili angalau nipate experience na iwe sehemu ambayo ni rahisi kwangu kuajiriwa...
kah hao wanawake am sure sio kwamba hawamjui mkewe bt wamefanya makusudi tuweka loudspeaker,japo ni ngumu kumeza ntakaa na kumaliza shughuli zangu thn home ndo kingeeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.