Search results

  1. M

    Freeman Mbowe - Afanya maajabu Houston TX

    wanauhimu sana wanadiaspora watatusaidia hata kutupa habari jinsi mafisadi yanavyochakachua pesa za wananchi yanapokwenda ng'ambo."SOMETHING IS BETTER THAN NOTHING"
  2. M

    Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

    lakini ziko wapi bandari za mtwara na tanga kama bandari ya dar es salaam imezidiwa?au ndio zitolewa kama offer kwa wawekezaji.
  3. M

    Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

    hayo ni mawazo yao,tuwaachie wao.
  4. M

    Bungeni: Zitto aigalagaza Serikali, Spika ashindilia msumari wa moto!

    Si walishazoea tabia za kasuku,wanadhani bungeni kumejaa mazuzu,acha waaibike na 2015 tunawapiga chini wote.
  5. M

    CCM hawakamatiki wala Hawashikiki

    huyu jamaa anafunikwa na gamba nini?he is full of non sense.mabomu na risasi n kwa ajili ya vita na wala si kwa ajili ya kuzima nguvu ya umma,nguvu ya uma haaushindwi na mabomu yanayoweza kujilipuka muda wowote.
  6. M

    Mabomu na risasi za moto zachafua mji wa geita leo.

    Ni haki yao kuandamana,hao polisi walaaniwe kama ni kweli kuna watu wamepigwa risasi.
  7. M

    Mheshimiwa JOHN MNYIKA atoa ufumbuzi wa tatizo la MAJI eneo la KIMARA hadi UBUNGO

    usikate tamaa mnyika,tungeweka gamba hata lisingesema chochote,jipange tupiganie wananchi wako bwana.
  8. M

    Je, Mbunge Shibuda alikuwa wapi wakati makamanda wetu wengine wakiwa katika harakati za ukombozi?

    alikata tamaa akijua kwamba magamba yatabebwa tena arumeru kama ilivyokuwa igunga,kumbe hata kubebwa tu haya bebeki.
  9. M

    CCM haitakufa na itaongoza milele: Nape Nnauye

    Sidhani kama alimaanisha kukisema kilicho moyoni mwake,na nafikiri aliongea domo lake likiwa linatetemeka na pasipokujiamini.
  10. M

    Kutoka Zanzibar, CHADEMA yaanza kazi rasmi

    hata mbuyu uli.....
  11. M

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    huyu mama sioni kazi aliyoifanya ikaonekana tangu ateuliwe UN,ikitokea kapewa nchi si dhani kama nchi itafika mbali kutakuwa hakuna jipya zaidi ya kuwa na mawaziri wote wa kike na wanaume tanzania tutalipiwa mahali 2kitaka kuoa.
  12. M

    Kigogo wa kike aliyelipa m 7 kufanyiwa shoo peke yake

    acha mama sharobaro...milionea apige bata na kibabu junio,ila siku zao zinahesabika,wakiona tunaanza kujichoma moto karibia na magogoni pale watakiona labda waende kwa kicameroon wakiwa na mafuta laini.
  13. M

    Kumsusa Kikwete, CHADEMA wamevuna mahindi au Mabua?

    kichwa ni kichwa tu,mkia hufuata baadae.log out...
  14. M

    Dr. Mwakyembe, ni maradhi tu?

    mh,mwakyembe mbishi!
  15. M

    Please! Please! Please CHADEMA nawaomba mkubali matokeo Igunga

    naipendatz, lakini wewe huipendi tanzania unaipenda tz,yatakutokea puani siku moja huoni aibu wananchi wa igunga hawatumii sukari badala yake wanatumia unga wa superdeep kama sukari,au kwa sababu wewe ni mkia wa ccm unakula walivyoiba hao wanaojiita mafisadi,hatutaki shake before use comments.
  16. M

    Zitto Kabwe mbunge wa kwanza kutumia iPad Bungeni

    ndio matumizi ya elimu na kuelimika,natamani niwe mshauri wa teknolojia wa CDM!
  17. M

    Halima Mdee: Hatujaja Bungeni kuuza sura

    aliyekerwa na maneno ya halima mdee hakupitia elimu ya juu nini?labda anajigeuza kuwa mama wa familia bungeni!!
  18. M

    TRA yajipanga kudai mabilioni CHADEMA

    Hivi tra ni wanasiasa au watumwa wa siasa,je wao wanalipa kodi ya mishahara wanayojilimbikizia?Kwa kazi aliyoifanya Dk. slaa ni kubwa anapaswa kulipwa zaidi ya hapo.
Back
Top Bottom