Ndugu utakuwa unaliwa vibaya sana huko nyuma!! polisi tz hawawezi kuaminika abadan Lema yuko sahihi! Waliomuua aliyekuwa mwenyekiti wa kata ya usa river jimbo la arumeru mashariki walitoroka mbele ya makumi ya polisi mahakamani na mpaka leo hawajapatika! polisi polisi polisi wa tanzania! wamejaa...
Mioyo iliyopondeka masikini! Tusikate tamaaa,kwani kizazi kinabadilika ipo siku tutapata uongozi wenye kutujali raia na si kama huu unaomalizika na utakao anza wiki ijayo lakini pia huwezi jua pengine mzee wa hapa ni kazi tu akawa kama alivofanya P.Bother wa sauzi miaka ya 90! aliwageuka...
Halafu huu utaratibu wa kuwepo mwanya wa kuhesabu upya lazima ufutwe! Unatucheleweshea matokeo sana! Yani ni lazima uwekwe utaratibu ambao matokeo ni lazima yatoke haraka! Mwaka huu labda tutavuka salama lakini 2020 Itakuwa shida sana.
Pole na hongera Mtatiro, wewe na wenje mmeniuma sana! Na mbaya zaidi wewe kura zako zimepunguzwa na mgombea wa chadema na Wenje kura zake zimepunguzwa na mgombea wa cuf nyamagana.
Kweli mkubwa,mwanza wamepiga kura kisukuma na katika kampeni zao hao walioshinda walikuwa nasema kabisa katika majukwaa kwamba iweje mchaga na mjuruo wawe wabunge wa wasukuma?
Pia musoma wakwaya wampa mkwaya mwenzao veda wamemweleza nyerere mzanaki akagombee kwao busegwe butiama
Wanaume mkifika vituoni hakikisheni mnakuwa watulivu sana halafu msiwe na haraka ya kuwahi kupiga kura! Hakikisheni mnawatanguliza wadada,wamama,wazee,walemavu na wagonjwa! yani kueni bize kuuliza nani anajisikia vibaya atangulie kupiga kura!
Yani mdogo mdogo! wengine mnaweza kujiangusha vile na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.