Scenario:
Case No 1. (Madai ya nyongeza-Mshahara)
Situation:
Mimi kama kiongozi wa idara pia (Makamu mkuu wa idara), nilipokea malalamiko ya vijana kuhusu kuongezewa mishahara, hii issue ilianza na mkuu wa idara lakini hakuwa amelipa uzito na kulisimamia kuwa madai utaratibu uedelee kufuatwa...
Jamani nataka nilete mrejesho kwenu waungwana. Napoandika ujumbe huu ukweli ni kwamba nimetoka ku check kama kweli tatizo ni langu au la, proof ni kwamba nimetoka kupiga mechi tangu Friday mpaka Suday hii around saa 11 alfajiri. Nimepiga kazi sana tu, usiku wa kwanza nimepiga bao 3 bao la kwanza...
Kisungu nashukuru sana Kwa ushauri wako mkuu, ukweli unachosema kina substance kubwa mno na ni Cha msingi sana. Hakika naamini kuna substance kubwa sana kwenye ushauri wako. Nimekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na nina namba ya kutosha behind, na ukweli upo clear na evidences ninazo Kwa wale...
Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga...
Habari zenu wanaJF, nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora.
Yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda mrefu wa kuwa na confidence na mimi alinikubali...
Mwamakula......nimekuwa nikifuatilia post zako, mambo kadhaa nimegundua. Kwanza lafudhi yako inayoendana na maandishi yako inanipa picha wewe si mtanzania, ni Mrundi na kwa sababu hiyo i can sense wewe ni Mkosamali coz i once listen to your interview na ku-notice hilo. 2nd huna lugha za...
With all due respect i have brother Will le baharia.........kwa bandiko lako hili napingana na wewe kwa kiasi cha 100%, na sijaona relation ya post hii ya huyu ndugu na CHADEMA...Why and fpr what reason? kwanini umefanya attack as if u had something in your heart for so long? Halafu itakuwa ni...
Mutuz le Baharia........kwa hakika umeugusa moyo wangu mno, na kwa hili nasema hata mungu aone nia yako na maombia yako. Kwa hakika kuna mambo mengi mno ya hovyo hovyo ambayo kimsingi yanapaswa kuepukika na kupunguza gharama zisizo za lazima kwa wananchi. Sitaki kuyataja hapa kwani si nia yangu...
Dah. Kamimbi we ni soooooooooooo mbaya kiongozi. Unajua nilikuwa nasinzia nimeona post yako nimecheka balaaaaaaaa mbayaaaaaaaaaaa. Ebwana we ni so mkuu. Hilo nalo neno aise hapo kwenye "Halua na Tende"
Kiongozi i do agree with you for 100%. Na kwa kweli if this is true (personally sijaona hiyo taarifa) though i can believe it coz i know the guy alivyo low. CDM should capitalize on this statements na ni insult kwa hawa watumishi waaminifu kwa serikali yao na jamii wa ujumla. So viongozi wa CDM...
Hospitali ya Taifa Muhimbili ilipokea mgonjwa toka Hospitali ya Mwananyamala tarehe 18/08/2011 akiwa mahututi na hajitambui. Inasemekana kuwa mgonjwa huyu aliokotwa na wasamaria wema barabarani akiwa amegonjwa na gari usiku wa kuamkia tarehe 18/08/2011 ambao walimpeleka Hospitali ya...
Hivi ndugu yangu Mwita, wewe umeajiriwa humu kwa kazi moja ya kubisha tuuuuuuuu au? hebu tupe uwiano wa hizo picha basi then ulete zako kuthibitisha kuwa anachosema PLATO ni uongo.
Watu wengine sijui mna hurka gani!
R.I.P..Amboka...nilipopata taarifa ya kifo chake nilitafuta cv yake bila mafanikio ikiwa ni pamoja na CV ya Patrice Lumumba mchambuzi wa sku nyingi na mwanasiasa (Waziri sasa huko Kenya). Mwenye CV za hawa wapiganaji aiweke hapa tafadhari.
Pole sana kiongozi, naona imekugusa mno. Ukweli inati aibu na kimyaa eti hao ndio wawakilishi wa nchi. Image gani pale kaonyesha, ni taafsiri gani juu ya watanzania hasa vijana kaipeleka kwa wenzetu. Bila aibu kabisa bila kujali yupo mbele ya media kaamua kuropoka utumbo wake. Thank God kijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.