Mkuu wa wilaya ya manispaa Tabora mjini ameonja joto ya jiwe baada ya kutaka kuwachangisha walimu mchango wa sherehe za uhuru na mwenge walimu walimuchachafya kwa hoja kwenye ukumbi wa uhadhili mpaka akakimbia.
Anataka akusanye sh 280,000,000 milions kwa ajili ya miaka 50 ya uhuru na mwenge...
kwanza sheria ya kuingia uanachama wa chama hicho ni kandamizi.Eti kila anayeingia kazi ya ualimu automatically ni mwanachama. wanakata bila idhaa yake. Huo ni uhuni.
Nashukuru sana wana JF kuibua hoja kama hii, huyu jamaa hafai hata kidogo, muda mwingi yeye na Simba sport wala hajui matatizo ya wananchi wa Tabora kabisa, Manispaa ya Tabora ni moja manispaa zenye shida nyingi ikiwa pamoja na uongozi mbovu sana. Upande wa Elimu idara ya Sekondari kuna matatizo...
Big up, nimeipenda hiyo tunaka viongozi wa mfano kama Mbowe. Watu wa chama cha magamba najua watakejeli kwa sababu ni mamiani wananyonya damu ya watanzania wanao kufa kwa utapiamlo na njaa. upepo unakuja na utawazoa mapema sana na tutawasahau kama alivyosahaulika Chiluba kule Zambia.
Inaonyesha wewe ni wa chama cha magamba ndo wamekutuma, na sijui kama unaakili timamu au ni akili ya makamsi, na nafikili magamba wakulipa posho kubwa sana, ndo maana bado umeng'ang'nia gamba hadi ufe na gamba mwilini. shauri yako.
Nimeipenda hiyo wanajf, ufike wakati viongozi waonyenshe uzalendo kwa vitendo badala ya kuuimba majukwaani huku moyoni hawamanishi hicho. haiwezekani mtu kwenye inchi masikin kama tanzania asafiri kwa bussiness class badala ya econmy class. ni muda mwafaka watu wa magamba kujiweka pepembeni kama...
Usiseme hivyo huu ni ufisadi wa hali ya juu. huwezi kuishi hotelini kwenye inci kama tanzania inayo zungukwa na masikini wengi hivyo. chekecha mbongo ndugu yangu. ila kwa sababu tunaongozwa na magamba ambao ni mafisadi hatuwezi kushangaa kuona hivyo.
Mpendazoe hawezi kushinda hiyo kesi. Maana mahakama inakuwa controlled na chama cha magamba, ila kiukweli hata magamba wenyewe wanajua kabisa kwamba walimwibia mshikaji kura zake.TZ mkuu hamna haki kwa mtu ambaye hanacho.Mpendazoe hawezi kushinda ila uchaguzi mwingine atashinda.
Mkuu mimi sina shida na kuchukuliwa kwa mabinti. Sisi tunataka ukisoma elimu iweze kukukomboa utambue baya na zuri.lakini unapokuwa unasoma chuo kikuu harafu unachukuliwa kama changu doa elimu haijakusaidia. waache tu elimu ikiwasaidia wataacha.
Huwezi amini hadi lleo walimu wapya bado hawajalipwa pesa ya mizigo ili hali wilaya zingine tayari zimeshawalipa. wanajamii tusaidianeni mawazo hapa kuna tatizo.
Mimi nashangazwa na Manispaa ya Tabora Kupitia kwa Mkurugenzi na Afisa elimu idara ya sekondari, kwa kuamua kwa makusudi kabisa kutotenga fungu la kusomesha walimu kwenye budget, eti kwamba manispaa ya Tabora haina mpango huo. Cha kushangaza manispaa ya Tabora hata walimu walioko masomoni...
Inaonekana wewe ni magamba, ukiwa waziri kwenye ofisi ya umma kwa nini ujichulie tender, usiache watu huru. lukuvi na chami wanatakiwa kuchagua moja biashara ya ujasiliamali au uwaziri. ila kwa sababu magamba ndio utaratibu wao hatushangai sana, ila the time is coming sio mbali tutawang'oa...
Kigwangala unatuaibisha sisi watu wa pande unazoongoza maana badala ya kushughulikia kero za wananchi wa nzega umeanza tena kufuatlia personal issues za dr slaa amaye usomi wake hauna mashaka. watu wa nzega wanahitaji, umeme, maji, shule ,walimu, hospitali ambavyo ni kidogo sana, kule ndala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.