Jameni! nijambo la kushangaza kwa vijana wa umri ndogo kupoteza mwelekeyo,hivi ni kuwa mtu unalelewa kama mwelekeo huna,wazazi huwasaidii,shule unaenda shingo pande,kuamka ni saa tano,kazi twachukuwa miaka kuchagua,mungu tumemsahau......jameni!?
Kosa ni kosa kakangu,kitendo ushaa kitende ambalo ni kosa na kwanza kabisa nakupongeza kwa utu wako wakutotaka kumtoa uhai mtoto ambaye atajitokeza hivi karibuni.Wakati huu kwako mwenzangu ni wakati wastahili kuonyesha utu,ujasiri,uanaume,na upole,kweli wewe ni binadamu kama mimi na wale wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.