Napata supu hapa naona daladal zinapita,tax na pikipiki kama kawaida wanapita! Chadema wangetoa fungu kwa kila daladala na tax ili jioni wapeleke hesabu kwa matajiri wao kama kawaida! Ni ngumu kufanyika afadhali wamiliki ndio wange sema wagome!
Lema msanii sana anacheza na akili za watu wa Arusha anawapeleka kama pimbi! Hata akisema watembee uchi watafanya tu! Lema kuna siku atatembea uchi kupinga uonevu wa polisi kwa CDM na watu wa Arusha watampa support kwa kutembea uchi! Atakunya barabarani kulaani uonevu wa Polisi na machizi wake...
Hana sera huyo Padre alie fulia,kwanza hata hapa JF wamemshitukia hawampi sifa kama zamani utasikia Rais wa moyoni,dokta wa Ukweli kumbe Phd yake ni ya kanisani!
We pimbi siasa za bongo zimekuharibu kabisa now you think locally! Mwendesha Mashitaka wa ICC huteuliwa na tume maalum hakuna anaeomba kazi ICC! Hivyo Chande ameteuliwa na wenzake 6 halafu tume hiyo itapitia na Kumteua anae faa! Haku-apply hiyo kazi kama unavyo onesha kutoelewa!
Nataka kuweka Kumbukumbu sawa hapa! Mwendesha Mashitaka wa ICC huteuliwa na tume maalum hivyo Chande hajaomba hiyo kazi amekua shortlisted na Wenzake 6 baada Tume/kamati itapitia majina 6 na kumteua Mwendesha Mashitaka! Naona Watanzania wenzangu wana JF wanaona kama Chande kaomba kazi hapana!
Nimeiona habari hii kwenye Gazeti la Habari leo pia! Dah Mhindi sio mtu wa kumuamini leo anaiponda Chadema utadhani haijui kabisa! Chadema kwa hili mmedhalilishwa sana na Sabodo kweli pesa ni mbaya!
Kwa akili yako Ipo siku Nato wataivamia Tanzania na kuitafuta CCM mafichoni na Kuiua au Kuipeleka The Haque? Nato ndio nguvu ya Umma? JF ina mchanganyiko wa watu mbalimbali wenye elimu tofauti na uelewa tofauti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.