hakuna mchezo wowote mchafu kaka,unajua kina dada wanapata mda mwingi wa kuwa na familia nyumbani hivyo upelekea kumjua kili mmoja na tabia zake ndani ya nyumba,kutokana na mambo uliyo yasema hakuna kitu cha namna hiyo,nacho amini ni kwamba jinsi unavyompenda mkeo ndo yapelekea uwaze mambo...
poleni kina dada lakini naona cha kufanya nikusoma nyakati kabla ya kutoka home naimani hakuna kaka hatakaye wasumbua,mwendako mambo mengini simpaka kufundishana yoyote kwa yote poleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.