Tuache kujadili vitu ambavyo havina maana. Mbona mara nyingi huku kwetu Iringa tunapishana na magari ya jeshi yakiwa na wanajeshi. Tungeweza kuhoji kama jeshi lingetumika kutuliza fujo, lakini halikufanya hivo, tuache Umburula.
RAIS Jakaya Kikwete amekiri kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kina hatari ya kuanguka vibaya katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, ikiwa hali mbaya inayoendelea katika nchi haitarekebishwa.
Kauli hiyo ya kwanza ya aina yake, aliitoa saa chache tu baada ya kutamba kwamba CCM ina uhakika wa kurudisha...
Katika hali isiyo ya kawaida, hofu ya wabunge wa CCM katika mchakato wa uundwaji wa katiba mpya imetokana na kuogopa aina ya wajumbe watakaoingia kwenye tume ambayo Rais ataiunda. Soma sehemu hii: "Hoja nyingine iliyojengwa na wajumbe ni kwamba kama wataruhusu mabadiliko ya Katiba yafanyike...
UHUSIANO kati ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wao, Rais Jakaya Kikwete, unazidi kuzorota, kiasi cha kutishia nafasi ya kiongozi huyo mkuu wa nchi, Tanzania Daima Jumapili limebaini.
Baada ya juzi wabunge wa CCM kumshambulia na hata kutishia kupiga kura ya kutokuwa na...
Nimeshtushwa na habari iliyo katika Mwanahalisi ya Leo Toleo namba 249 yenye Kichwa "Mzozo wa Lowassa na Pinda: Ni uamuzi Mgumu, Utapeli au ajali ya kisiasa?" Ukurasa wa 11. Nanukuu baadhi ya vifungu:-
"Baada ya kusomwa kwa ripoti , (Ya Richmond) taarifa zinasema Lowassa alikwenda Chamwino...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.