Aga Khan = MNH?? kweli hawa viongozi wetu wamepotoka! au wanaogopa kivuli chao wenyewe? usimuombea mwanzako afe! akipona sasa hivi atakuwa mtu mwingine safi! atajua kwamba ipo siku!
sasa kama hawaongezi muda hao majamaa watamalizaje intern ndani ya miezi chini ya sita? maana najua internship ni miezi 12. na hii ni minimum, maana kuna ambao wanapita kwenye idara kwa miezi mitatu( idara kubwa zipo nne) kwa sababu maja au nyingine utendaji wao wa kazi unakuwa siyo mzuri...
bado haijastify kupima wagonjwa/clients bila ridhaa yao. maana lengo la kupima ni kuboresha matibabu utakayompa mhusika, vipi kama hujamwandaa! shida kubwa tunalipua kazi bila kujali athari zake. ni kweli WHO inashauri kila mtu akienda kituo cha afya pamoja na matibabu mengine apate huduma ya...
Unapouza makampuni kama Saruji, beer, sigara na NMB kwa makaburu ambayo ndo yanatengeneza faida ya kufa mtu, unafikiri tutakaa tuendelee? kwa kukwepa kulipa kodi kwa makampuni yanayotengeneza faida kubwa! kwa sababu sheria zetu zipo legelege eti waziri/katibu/mkurugenzi anatuhumia kwa wizi...
mfumo ndo unafanya hawa waonekane hivyo! sector yeyote inayohusuka na huduma kwa jamii lazima ionekane ina matatizo maana hata wateja wenyewe wana matatizo! wewe unasema unawachukia Madaktari! Piga ua katika maisha yako lazima utaenda hosp tu! either alive or dead! mbona ma Drs hao hao wakiwa...
yaani kabla hajamaliza hiyo BA yake alishashika nyadhifa mbali mbali kama
Southern Highland Secondary School
Administrative & Personnel Officer
bila hata kuwa na ka dipl ka ualimu! kweli hii Tz inabidi iingingie kwenye maajabu saba ya Dunia!
huwezi heshimika kwa kuvunja amani na kuharibu mali! hao dogo ilibidi wahojiwe na kujua chanzo ni nini! sasa kama Mungu katuumba na ndiye mwenye mamlaka yote! kwanini tumtetee? naanza kuwa na wasi wasi watu wanavyotafsiri maandiko. 'atakaye iangamiza nafsi yake ataiponya' wanafikiri watakaoua au...
tatizo anawategemea wasaidizi mafisadi! hajui watu tunagoogle kupata taarifa za kweli! sasa kama CT scan ipo moja inayowahudumia walalahoi milioni 40, alitaka ifanye kazi milele bila kuharibika?
watanzania wanateseka kwa sababu ya mgomo! ila walikuwa wanateseka zaidi bila mgomo kwa sababu mahospitalini hamna vifaa vya uchunguzi! wagonjwa wengi wanakufa bila hata ya kugundua tatizo/ugonjwa anaoumwa na pengine hata kama tatizo/ugonjwa ukijulikana dawa hamna! kwa hiyo ni taabu kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.