Leo nadhani mmesikia Rais akiongelea hili swala la migodi Shinyanga.
Tufike mahali tutangulize uzalendo kwanza.
Nasisitiza, wananchi tupewe namna ya kuwakilisha huu unyanyasaji, nasi tutoe ushirikiano
Kumekuwa na unyanyasaji wa wananchi katika ardhi yao huku viongozi wakifumbia macho mambo haya.
Jana ITV nimeona wananchi wakifukuzwa kwenye mashamba yao walipozaliwa wakiambiwa wampishe mwekezaji, hivi mimi mTanzania naweza kwenda Africa ya kusini, au Ulaya na kufukuza watu sehemu yao kisa...
Wananchi tunaona na tunaridhishwa na utendaji wako uliotukuka. Ni muda sasa tumekuwa tukilalamika katika maswala mbalimbali, lakini sasa tuna imani yale yote yaliyokuwa sio utayarekebisha.
Ikumbukwe kidole kimoja hakivunji chawa.
Tunashauri, uunde kitengo cha kupokea maoni na malalamiko ya...
Jana nilikuwa sehemu moja maeneo ya Segerea na mume wangu. Katika kupata kinywaji wakaja baadhi ya marafiki zake, ila kuna huyo mmoja mwisho wa siku alitia aibu sana. Muda wote wenzie wanachangia bill yeye ni kupiga story tu na baadae akaingia mitini, katika kudodosa nikaambiwa ndio tabia yake...
dada kama hufanyi kazi, nani anataka goli kipa? maisha magumu siku hizi ni kusaidiana, nakutakia kila la kheri ila kukushauri tafuta kwanza kazi, mume utampata huko huko
Ama kweli JF ni kila kitu, siamini kama mimi ndio nilitoa hii thread kuomba ushauri. Ni mwaka sasa na nimeshasahau maumivu yote na sasa naendelea na maisha yangu kama kawaida. Asanteni wote kwa ushauri wenu
asante mkuu Bukyanagandi, niliweza kutatua tatizo kwa ku unplug system nzima, niliporudishia tatizo likawa limekwisha. Na kosa nililofanya ni kuweka cable sehemu ya headphone ndio maana ikastuck. asante sana mkuu kwa ushauri wako ulioenda shule
Heshima wakuu,
Ninaomba msaada kwa anayejua kurudisha sauti kwenye Samsung Led TV, nikiongeza sauti inatokea alama ya headphone wakati sijaweka headphones.
Shukrani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.