Naomba mwenye kujua bei ya battery mpya ya toshiba anijuze, maana laptop yangu inaonyesha alama nyekundu kwenye highlight alafu inasema considery replacing your battery.
Wadau kwa mwenye taarifa kuhusiana na nafasi za kazi zilizotangazwa na tume ya ajira za COSTECH kama washaita watu kwenye usaili,
maana mim niliomba research assistant mpaka sasa naona kimya.
Mbinu za kuwazuia hasa morogoro mjin sio ajabu na mweshimiwa mwenye haya mabus anahusika, maana yupo tayari kumwaga pesa nyingi kulikon kuona upinzan unakua na nguvu. ela alizotumia kwenye kampen hazijarudi bado atahitaji aongoze msimu ujao pia.
Ndugu wana jamii forum katika safu hii, naomben msaada, laptop yangu aina ya toshiba inaonyesha alama ya x ya rangi nyekundu kwenye screen ya baterry highlight. ma yanatoka maandishi yalio kwenye heading."consider replacing your battery" nifanyeje wapendwa wakati ina uwezo wa kukaa na charg zaid...
which district you prefert to work?Wadau naomba ushauri ni wilaya gani nzuri kati ya Kiteto, Iramba na simanjiro. kuna kazi nimeapply nikaambiwa nichague japo interview bado. naomba wadau mnipe ushauri plz.
Last edited by Tekenya; Today at 15:21.
Wadau naomba ushauri ni wilaya gani nzuri kati ya Kiteto, Iramba na simanjiro. kuna kazi nimeapply nikaambiwa nichague japo interview bado. naomba wadau mnipe ushauri plz.
nadhani tatizo ni zoomu, hata mim lishanitokea, ipo very delicate, ukibahatika kupata fundi akairepea ni bahati, ila hapo inabidi ununue nyingine (zoom) ambapo sio chini ya 50-60,000/= mtaa wa uhuru kariakoo nyuma ya maduka ya simu wapo mafundi wa kamera.
Wadau wa Elimu nataka fanya research ktk somo la english kwa tz, naombeni mada ambayo ni researchable ikiwa ni sehemu ya kumalizia masomo yangu ya chuo. natanguliza shukrani za dhat kwa watakaonishauri na kunipa mawazo mazuri.
Wadau naomba ushauri, toshiba yangu ilianza kwa kukoroma kwa spika na sasa haitoi sauti kabisa, sababu yaweza kua nin? maana uzoefu na haya mambo sina kupeleka kwa mafund wetu hawa naogopa, naomben ushauri, nifanyeje.
hapana sikuliona kwenye udaku, nilishangaa napata sms, tena alonitumia kataja na jina langu, wanataka kufanya kazi na mimi ktk mda wangu wa ziada, niende leo sinza mori saa 5.30 asubuh, nikapiga hesabu ya kuja nikaona sitaweza kuwahi nikaona niwaulize wadau kwanza.
Wadau naomba mwenye details kuhusu diamites int. anambie please, ni nin na wanahusika na kazi gan, na malipo yao yakoje, maana nilitumiwa ujumbe niende kwenye majadiliano sinza mori na mim sipo karibu na dar. naomben mnieleweshe wadau mnaofahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.