Namba 40 ni ni majaribio na ukamilifu wa jambo fulani, suala la sekunde, dakika, masaa, siku, wiki na miaka yote yana sadifu ukamilifu fulani. Mfano ukimtazama mtu kwa nukta 40 huwezi kumsahau hata ukikutana naye popote lazima akili yako itatambua kuwa ulikwisha kumuona.
Ukikaa na mtu kwa...
Mimi si mtaalamu sana wa afya ila kuna scenario kama hizo nyingi tu. Hawa kitaalamu ni discordant couples ambapo mwanamume sio recipient wa VVU kulingana na blood group au aina ya kinga yake na aina ya HIV aliyonayo mkewe. ... hivyo ushauri wangu wapate ushauri wa kitabibu then goma liendelee...
Lembeli hana chake Kahama. Hakuwahi kuwa na chake isipokuwa hakuwahi kupata mpinzani sahihi na mgombea sahihi wanaemtaka wana Kahama. Safari hii uchawi na pesa anavyojinasibu navyo havitamsaidia. Kuna jembe tumeliandaa na sasa liko tayari kulima. .. hakuna cha Lembeli, wala nani. Tunaye wakili...
Kwa ufupi ni kwamba aliyekuwa rais wa serikali ya wanafunz bwana Ramadhan Kirungi anashikiliwa na Polisi Kituo cha Selander Bridge baada ya kudokoa kiasi cha shilingi 31 Milioni kwa kufoji saini ya Dean of students.
Wizi huo uligunduliwa na makamu wake wa Rais ndugu Godfrey Modest (Pichani na...
Makala au mijadala kama hii huwezi kuipata kwa kuwa kila kitu kimekuwa white washed na sisi weusi Tumekuwa brain washed. Lazima ujiulize kwa nini Malcolm X alikuwa anadai Yesu alikuwa mweusi kwa nini tusitafute ukweli wa madai yake? Lazima tusome na kutafuta maarifa zaidi. Mungu anaposema "watu...
Kujadili nani ni mtaalamu wa kutengeneza virusi au nani ndiye aligundua ni kumpa sifa shetani tu.Nadhani swali la kujiuliza na KWANINI?? Ukweli unajulikana na sio yeye tu mgunduzi. Ni ndoto ya taifa lake la Marekani na wazungu wote kuwamaliza watu weusi kwa kutumia mbinu yoyote ya kufanikisha...
Wadau Habarini,
Niwatakie heri ya mwaka mpya, imekuwa kitambo kidogo taingia nitangaze nia, nikapata mchumba humu JF ambae tulifunga ndoa tarehe 15.10.2011; ndoa yetu ni ya furaha na kila mmoja anaamini ndo mwisho wake wa reli kama ilivyo, tatizo la mwenzangu tangu tumetoka honeymoon amekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.