Kwakeli Nchi ni kizungumkuti tatizo lipo na linaongozwa na amiri jeshi mkuu mkuu wa nchi ama kwa kutaka mwenyewe au kutokana na kuwa aliingizwa madarakani na wale waliokwishatafuna nchi sasa naye anajikuta ana jinsi maana yeye ni mmoja wao ni wengi hivi anakuwa kwenye dilema. Akiwatosa watamuu...
Ahsante sana. Kama ulivyoona ni "typing error" lakini si kuweka "L" kwenye "R" na "R" kwenye "L".
Nafurahi kunijulisha, "I'll be extra careful".
Ndugu yangu tatizo lako na kuweka R penye L na L penye R ni tatizo la kuzaliwa nalo Hivyo hunabudi kukubali kilema chako kwani watu wa Bukoba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.