Hawa wana ajenda ya siri ya kutokomeza wakristo kwa kuwazuia wasiabudu, kama wanalalamika kuwa sheikh Ponda amekamatwa, je, makanisa ndiyo yaliyomkamata? kwanini wasiende kuchoma moto vituo vya polisi? Hii serikali dhaifu ndio imetufikisha hapa. Walipoandamana kwa ajili ya kuachiliwa...
Wakristo wamekuwa wapole sana,
nadhani sasa ni wakati sahihi wa kuanza kufikiria kujibu mapigo, ni kweli akupigaye shavu la kulia mgeuzie na la kushoto, lakini je, akishakupiga la kushoto unafanyaje, heri kupiga kuliko kupigwa. Shime wakristo amkeni kutoka usingizini.
huu ni usanii mkubwa sana, yaani wale wote walikuwa wanampiga tena kwa amri ya RPC ambayo naye ameipata kutoka kwa IGP ambaye alishauriana na Nchimbi naamini, halafu eti anakamatwa askari mmoja aliyefyatua bomu? huu ni usanii wa hali ya juu, ni sawa na majambazi walioenda kuiba mahali halafu...
sasa kama hali ndiyo hii, watanzania tufike mahali
tuseme inatosha. Mbona wanatufanya sisi ni watoto wadogo? Yote haya ni matokeo ya kuwa na uongozi dhaifu.
hii imetulia sana, hivi haiwezi kuchapwa kwenye magazeti ili wale wasio na access na mitandao nao waisome? Wadau hawa polisi wana matatizo mengi sana ndo maana wanaganga njaa kuomba rushwa ndogo ndogo.
hakuna lolote hapa, mbona kuna mafisadi kibao tu hawasimamishwi kazi, wanaonea wadogo tu wakubwa wanapeta tu. Wao wakikatiwa umeme bungeni wanafukuza MD mbona watu wanakosa huduma za afya hawamfukuzi waziri? Mbona huku hatuna maji na hakuna anayewajibishwa? Mbona watoto wanafeli ktk hizi shule...
kila mmoja alikuwa anatamani mgomo uishe kwa faida ya wananchi wa kawaida wasiweza kutibiwa private sasa wewe muanzisha mada inaonekana ulikuwa unapenda mgomo uendelee? jaribu kufikiri kama watu wakifa we utapata faida gani, mi nasupport walichofanya madaktari kusitisha mgomo baada ya kukutana...
kama nchi inaenda hivi basi ujue hatupo salama, hawa madaktari ni ndugu zetu na hii serikali ni ya kwetu, kwanini wezi wa EPA hawakuambiwa warudishe ela mara moja vinginevyo watafungwa? mbona twiga wetu wameibiwa na kupelekwa nje na wahusika hawajafukuzwa kazi? mbona wabunge wamedai nyongeza ya...
kwani we mpaka leo haujui clouds ipo kwa maslahi ya nani? hiyo redio ni sawa na kusoma gazeti la uhuru au jambo leo. amka tafuta redio nyingine za kusikiliza acha kulalamika bhana.
jamani kwani hawa polisi si tunao huku mitaani kwetu, wengine tumepanga nao kwenye nyumba za kupanga, na wao si wana shida kama sisi? halafu kama wataamua kupiga raia kwani wao wanaishi kwenye sayari nyingine? tukiamua kuandamana hatuhitaji kuogopa lolote, mi naomba mipango ya maandalizi ya...
hao Tbc mbona wameita watu wa ccm tu? kwanini hawakumuita waziri kivuli wa sheria Mhe. Lissu? mi naona hicho kipindi kiliandaliwa mahsusi kwa ajili ya kujaribu kujisafisha na kuwadanganya wananchi wasio na uelewa wa kile kinachoendelea, naomba ule mkakati wa wanaharakati kuandaa maandamano nchi...
jamani wajumbe mnaofahamu sheria tujuzeni sasa kama amelipa hiyo faini na yupo uraiani je ubunge anaendelea nao au inakuwaje hapo? au kutafanyika uchaguzi mwingine? sheria inasemaje?
jamani huyo anayekuja anamwakilisha yeye hivyo watu wote wa AR tujitokeze kwa wingi tukiwa na bendera za cdm na tumuonyeshe vidole viwili juu, naomba tuanze kupendekeza mabango ya kumpokea huyo anayemuwakilisha yawe na ujumbe gani... nawasilisha.
hivi hawa wenye bodaboda si ndiyo chama cha magamba wanawanunua wakati wa kampeni na kuwatumia kwenye misafar ya wagombea? ndiyo wajue ccm ina wenyewe.
hapa hakuna tatizo cha muhimu iwe baada ya mgonjwa kupona na daktari awe ana mpango wa kumuoa na siyo kumuharibia maisha vinginevyo hafai kuwa daktari.
Kizazi hiki tulichonacho tunahitaji viongozi wanaoweza kuthubutu na wanapoona tatizo hawalalamiki tu bali wanatafuta njia ya kulitatua, na hiki ndicho anachofanya Mnyika.
Wadau wenzangu bila kujali itikadi za chama au dini huu mfumko wa bei unamgusa kila mtu hivyo anapotokea kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.