du wanajamii wenzangu baada ya kuangalia ITV habari ya saa mbili yaani sina raha na ki ukweli nimelia kwa uchunguniliposikia wagonjwa wanalalamika kwa uchungu wanatia huruma hadi machozi yamenitoka mwanaume kitu ambacho ni nadra kunitokeainasikitisha sana
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amemtwisha mzigo wa lawama Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kushindwa kuueleza umma ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe.
Sitta alisema kuwa anashangazwa na ukimya huo wa Pinda kwakuwa Dk. Mwakyembe alishatoa...
poleni wafiwa, mwenyezi mungu awapumzishe kwa amani marehemu wote, pia sisi tuliobaki tujiandae nasi tutafuata,
ujumbe kwa madriver tuwe waangalifu rodini sio unadrive 6 au v8 basi wewe utaki uwe nyuma ya mwenzako. roli sio la kudharau mengine yana cc kubwaa kuliko hiyo v8 likiwa tupu...
nimechek video ya huyo jambazi sura ya jambazi inafanana na waliomzunguka kumwangalia yaani wote sura zao ni za kijambazijambazi kweli inatisha AR
kweli kabisa toka mwaka huu uanze kila sehemu iliyokuwa na mfuniko hakuna mjini mpaka jirani na central polisi wamekomba du kweli njaa mbaya sana tumekuwa kama nguruwe anayeza na kula watoto wake
wajirekebishe wanatutia aibu two weeks ago nilichelewa connection jomo kenyata kwa sababu yao tumesota zaidi ya masaa matatu wakaingia gharama za kutununulia chakula hapo jnia vile vile tulipofika nairobi ilibidi watukodie hoteli safari kwa siku nzima ili kusubiri next flight.sasa kama ndio hivi...
du namkumbuka mareheme jinias balali ni genge la akina kikwete na mapacha watatu ndio walimwingiza mkenge sasa yamewashinda wamebaki kimyaaprof beno masabuli hajui eti kwa nini shilingi inashuka aibu
hii mijitu ya kanda ya ziwa (shinyanga na mwanza) ilifaa wayahamishe yote wapelekwe either kwa alshabab maana inatutia aibu ya karne wabongo au serikali wahamishe watu wa kusini na kaskazini na kuwapeleka huko na wao kuwapunguza mikoa mingine ili kudilute tabia zao za hovyohovyo
hivi watu wa kanda yaziwa watastaarabika lini kila siku wanauana kinyama na kuendeleza ujinga
asilimia kubwa ya mauaji ya kutisha kama sio shinyanga ni mwanza
[njaa kali sana ethiopia, wanaoneana na wana matabaka pia huyo zenawi ni mshenzi wa kutupwa good point jamaa wana kubalika na mataifa ya nje wanasaidiwa sana na wachina etc ]Hao ni wale wanaotafuta maisha bora haraka,je kuna mtu aliyerizika na maisha yake popote pale.
Kama kawaida yetu....... TULIMBWAGA CHEYO.WAGANDA WAKAMCHUKUWA......... NA SASA TUMEMBWAGA TIDO.....WENGINE WAMEMCHUKUWA............... UKIONA CHA NINI WENZIO WANASEMA WATAKIPATA LINI........
hata che beni sasa hivi ni lulu kimataifa pamoja na matusi ya kila aina tuliomtukana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.