Meneja wa January ni dada yake Mwamvita...so far Vodacom hawajakunusha hii e-mail wala mwamvita mwenyewe wala January
Kwa kimya chao then tunaweza ku assume kuwa ina ukweli na kama ni kweli then its about time January aka tofautisha maisha yake ya kifamilia na dada yake ama sivyo kwa waziri...
Dada mtu alishatabiri kuwa kaka yake atapewa uwaziri na Mwamvita alikuwa anapita huku na huko kuomba michango wa dola milioni 1 toka kwa wanaotegemea kulipwa fadhila na Januarybarua hii hapa:
mimi naona makampuni ya Kizalendo bora yakafute tuu uanachama wake pale ERB kwani haina maana kusajiliwa na kulipa ada huku kazi zenyewe zote wanapewa wenye kutoa pesa
inawezekana kukawa na ukweli kwenye hili nishalisikia
wamefanya kusudi ili kupunguza makali ya umeme lakini ukweli unabaki pale pale kuwa after sometimes bajeti ikishapita then inazimwa kwani kuiwasha ile mitambo ni hasara tupu
RJE ndio waliopewa tenda na mashirika mbali mbali ya serikali kujenga University of Dodoma
sasa hivi nadhani mmeona jinsi yale majengo yanavyoleta matatizo ya nyufa.
In short hawa wachina ni mafisadi kuliko wahindi na wanatoa rushwa ndefu kuliko hata hao wahindi
makampuni ya wazalendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.