Habari,
"Tafuta kiwanja, Jenga, Oa/Olewa, nunua mkoko", njia hii na mawazo haya yamekuwa kwa vijana wengi wanaoanza maisha, hususani waliobarikiwa kupata ajira au biashara zao binafsi ambazo zinawapa kipato flani cha kuendesha maisha yao. Kwa uzoefu wangu hii imekuwa kati ya sababu moja kubwa...
Kuna account fake nyingi sana za watu maarufu duniani. Watu wanatengeneza ili kuwachafulia majina yao. Sio iyo moja tu uliyotuwekea mkuu zipo nyingi sana fake za TB joshua ila kwa kukusaidia tu nenda twitter kaiangalie vizuri hiyo account hata ukiwa na akili kodogo kiasi gani utajua tu kuwa ni...
Amini amini nakwambia huwezi kumtumikia Mungu bila kutupiwa maneno na majungu ya jinsi hii. ilishatabiriwa na Masihi.
Tuangalie historia kidogo....
Yesu - anatumia nguvu za mkuu wa mapepo
Yohana - ana mapepo ndo maana hali chakula.
nataka kukwambia Wakristo ndo wapinzani wa kwanza kwa...
To see More job goto: KenyaForums- kenyans priority
Dynamic People Consulting is recruiting a Key Accounts - On Trade Manager for Pernod Ricard Kenya, a global competitor in wines and spirits.
Reporting to the Marketing Manager, the overall role of the incumbent will be to drive the...
Matokeo ya mwanzoya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha Uhuru Kenyatta akiwa anaongoza kwa asilimia hamsini na nne dhidi ya Raila Odinga aliye na asilimia arobaini na moja. Ni uchaguzi ambao mamilioni ya wakenya walishiriki kupiga kura licha ya visa vya vurugu kuripotiwa katika baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.