Katika hali isiyo ya kawaida leo spika ametangaza kuwa hakutakuwa na maswali ya papo kwa papo kwa kuwa waziri mkuu hayupo.ndugu wana jf je hii ni ishara ya kitu gani?
Duh!,kumtambia kote tundu lisu kumbe yeye form six, c ziligeukiana.kupitia ole sendeka nimejifunza kitu kimoja cha msingi ukiwa ccm huwezi kuwa na msimamo endelevu kama wa chadema.
Nimuda sasa nimeuvumilia vya kutosha naona umefika wakati wa kwenda kuliko bora.Haiwezekani unampigia mtu simu unaambiwa simu haipatikani,ukipiga tena inaita mara inakatika.ukipiga tena haipatikani,ukipiga inaita yaani ukitaka kuungoe na mtu inabidi jitahada zitumike ili uweze kuonge na mtu...
Uhuru ni wa tanganyika ila mimi mwenyewe huwa hainiingii akilini kusikia miaka 50 ya uhuru wa tanzania.umefika wakati sasa watanganyika kuudai utaifa wetu tuache kupelekwa na viongozi wetu kwa maslahi yao binafsi.minadhani ni bora tukaanza na hili la kudai katiba ya tanganyika kabla ya kudai...
Haingii akilini kukubali kuwa matoke ya uchaguzi mdogo huko igunga mpaka wakati huu mshindi hajatangazwa kwa sababu tu eti sheria ina ruhusu kutangaza matokeo ndani ya saa 24.
Au ndio tuamini kuwa mnahangaika kuzishusha asilimia za CHADEMA ili ccm isionekane kuwa imechokwa na kadri siku...
Haingii akilini kukubali kuwa mpaka hivi sasa tume ya taifa ya uchaguzi haijatangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mdogo huko ugunga. kwa sababu tu eti sheria inaruhusu kutangaza matokeo ndani ya saa 24.NEC mnahofia nini kutoa matoke yote ya jumla au ndio tukubali kuwa vichwa vinawauma kuzishusha...
Sita hawezi kupokelewa na CDM Kwa sababu kubwa moja, mnafiki(s.sita) ni hatari kuliko kafiri(mafisadi wanaojulikana) jumlisha usaliti wake kwa mpendazoe na uhaini kwa chama chake hastaili kuwepo kwenye jahazi la cdm .
Ni uongo mkubwa kusema cdm inachochea fujo.inachofanya cdm ni kutoa elimu ya uraia kwa wananchi sasa uelewa umeongezeka raia wanaanza kudai haki zao elewa hivyo, hata mababu zetu baada ya kupata elimu walianza kupingana na udhaimu walio kuwa wanafanyiwa na wakoloni.
Huyu mtoa mada katumwa na wanaotuhumiwa kutaka kujiunga na ccj.haiingii akilini issue ya parokwa kuandikwa kwenye mwanahalisi ni mpango wa rostam.nasema hivi wote wameandika issue ya parokwa lakini s.kubenea jumatano atahitimisha.
Huyu mtoa mada katumwa na wanaotuhumiwa kutaka kujiunga na ccj.haiingii akilini issue ya parokwa kuandikwa kwenye mwanahalisi ni mpango wa rostam.nasema hivi wote wameandika issue ya parokwa lakini s.kubenea jumatano atahitimisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.