Mwenye ule waraka naomba auweke hapa wa utaratibu wa upandishaji madaraja 2016 coz kuna mtu alisema halmashaur wanajibu wajuavy 7bu hujui na huna waraka ambao wao wanafnya sir kuku undermine kwa rights zako
Hii issue ndo inaendelea hapa UDOM.
Watu huwa wanasaini ada kila mwaka leo wamebandika barua yakuwasitishia wanafunzi 1500 mkopo barua hiyo imeandikwa kutoka chuoni kwenda Heslb. Wapo mwaka wapili na watatu.
Juhudi zao hazijazaa matunda mpaka sasa management inapigiana mpira thread iko...
Acha uongo we ndio m/kiti wa kikao maana unatoa ajenda ambazo unataka aman itoweke . KAULI YA MAANA NI KUWATAKIA MKUTANO MWEMA NA WENYE AMANI NA MAFANIKIO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.