Mimi ni mjasiriamali mdogo nina mtaji wa sh . mil 5 natamani nianzishe mgahawa lakini sina uzoefu na hii biashara na sijui kama kiasi hiki kitatosha. Makusudio ni uwe mgahawa wa kuuza chakula, soft drinks na breakfast. Nipo jijini DSM maeneo ya mwenge. Naomba ushauri kwa wenye weledi wa hii...
Naombwa kujuzwa wana jamvi na kupewa darasa kuhusu elimu ya ufugaji bata
1. Wapo aina ngapi?
2. Wanalalia mayai kwa mwaka mara ngapi?
3. Soko halisi likoje kwa mfano kama naishi DSM
4. Vyakula wanavyokula kama nikitaka kuwafuga kibiashara
5. Je naweza kutotoleshea mayai yao kwa kutumia...
kwanini uweke huko hadi mwisho wa mwaka siuweke bank kama uko serious na kusave kwani huyo mnaempa aweke kuna insurance au anaweza zama na kibubu chote
Daah hiyo avatar yako hadi nimeogopa kukujibu usije rusha hiyo spana, wewe ndio utujulishe hiyo mikopo mnayopeana mbona majumbani hatuioni ikichangia maendeleo au inatumika vipi bila sisi kuona
Hivi nashindwa kuelewa kila uendapo nchini kwenye mitaa utakuta kuna vyama vya kina mama utasikia tu mke kaaga naenda kikao tuna chama chetu cha kukopeshana lakini huwezi hata siku moja kuona kaja na burungutu. Hivi mbona kina baba hawana hivyo vyama na ndio wanaotegemewa kwenye familia. Au...
Naomba kujuzwa kama kuna anaefahamu kampuni au mtu anaeweka floor ya tarazo either granite au mawe mengine. Shukrani
Wenu katika ujenzi wa taifa
Kifuniko
Nategemea kutoka nje ya nchi, kama kuna mrembo yeyote aliefunga chuo anataka kula bata likizo ani PM. Awe na passport na mrembo, mweupe au maji ya kunde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.