ana driving licence class C, na elimu yake ni ya form four,anatafuta kazi ya udereva au salesman vyote ana experiense navyo kwa zaidi ya miaka saba,tafadhali wana jf msaidieni huyu ndugu yetu,ni kiajan mtulivu sana na huwezi kujutia kuwa naye
Jamanh am having the same problem tena mimi ni both upper and lower back zinauma balaa, nikikaa, kusimama na kulala hakuna afadhali,kuna mtu kanambia nikamuone dr bake pale mail moja I heard ni doc mzuri wa mifupa, u can join me.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.