Nimependa sana hii topiki yako,na sasa kwa kiasi kikubwa naweza sema nimeijua asthma kupitia kwako.
Ombi langu kwako na kwa wadau wote naomba mnipatie utaalaam wa kungundua mtu aliye bakwa
siku kama 8 zilizo pita,ki uchunguzi na uthibitisho kuwa mtajwa ndiye yeye...
Wana JM--hivi kwanini malimbikizo na hele za kujikimu huwa zinachelewa sana tena sana kulipwa ili hali POSHO za kulipana kwenye vikao huwa ni fasta tuuu??? tena huku kwenye halmashauri zetu ndo usiseme.mfano mwaka jana kuna kada mbali mbali ziliajiliwa selikarini lakini wengi wao hawajalipwa...
wana JM-jana mh huyu alisema kuna hoteli moja imeajili wageni wengi ktk nafasi kadhaa ambazo wazawa wana uwezo na elimu ya kuzifanya.Lakini wazawa hawakuzingatiwa.
Nami ningependa kuwaeleza ya kuwa,hali hii si kwenye ma hoteli tu,nenda kwenye makampuni makubwa ya uingizaji madawa na kwenye...
Nimefuraishwa sana na habari hii hasa swala la ajira kwa wazawa hasa kakita sekta ya viwandani,Wabunge watusaidie hili kulipigia kelwle.
Kwani wazawa hawapewi nafasi ili hali wana sifa na wanakidhi vigezo.kwa mfano pale SHELYS kiwandani mwenge wahindi wana fanya mpaka kazi za...
Asante sana dr kwa kutupa ripoti hiyo nzuri,ombi langu kwako kama ulivyosema uwe shaidi mzuri na mkweli,watanzania tupo ntuma yako mpaka haki ipatikane.MUNGU AWEZA YOTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.